Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Methali 6:6 - Swahili Revised Union Version

Ewe mvivu, mwendee chungu, Zitafakari njia zake ukapate hekima.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Ewe mvivu! Hebu ukamchungulie sisimizi, fikiria namna yake ya kuishi ukapate hekima.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Ewe mvivu! Hebu ukamchungulie sisimizi, fikiria namna yake ya kuishi ukapate hekima.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Ewe mvivu! Hebu ukamchungulie sisimizi, fikiria namna yake ya kuishi ukapate hekima.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Ewe mvivu, mwendee mchwa; zitafakari njia zake ukapate hekima!

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Ewe mvivu, mwendee mchwa; zitafakari njia zake ukapate hekima!

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Ewe mvivu, mwendee chungu, Zitafakari njia zake ukapate hekima.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Methali 6:6
24 Marejeleo ya Msalaba  

Kwa kuwa mtego hutegwa bure, Mbele ya macho ya ndege yeyote.


Kama siki menoni, na kama moshi machoni, Ndivyo alivyo mtu mvivu kwa hao waliomwajiri.


Atendaye mambo kwa mkono mlegevu huwa maskini; Bali mkono wake aliye na bidii hutajirisha.


Nafsi ya mtu mvivu hutamani asipate kitu; Bali nafsi ya mwenye bidii itanenepeshwa.


Njia ya mtu mvivu ni kama boma la miiba; Bali mapito yao wenye unyofu hufanyika njia kuu.


Yeye naye aliye mvivu katika kazi yake, Ni ndugu yake aliye mharibifu.


Uvivu humtia mtu katika usingizi mzito; Na nafsi yake mvivu itaona njaa.


Mtu mvivu hutia mkono wake katika sahani; Wala hataki hata kuupeleka kinywani pake.


Mtu mvivu hataki kulima wakati wa baridi; Hivyo wakati wa mavuno ataomba, hana kitu.


Matakwa yake mtu mvivu humwua, Kwa maana mikono yake hukataa kufanya kazi.


Mtu mvivu husema, Simba yuko nje; Nitauawa katika njia kuu.


Sikia, mwanangu, uwe na hekima, Na kuuongoza moyo wako katika njia njema.


Kuna viumbe vinne duniani vilivyo vidogo; Lakini vina akili nyingi sana.


Chungu ni watu wasio na nguvu; Lakini hujiwekea chakula wakati wa joto.


Ewe mvivu, utalala hadi lini? Utaondoka lini katika usingizi wako?


Ng'ombe amjua bwana wake, Na punda ajua kibanda cha bwana wake; Bali Israeli hajui, watu wangu hawafikiri.


Naam, koikoi angani ajua nyakati zake zilizoamriwa; na hua na mbayuwayu na korongo huangalia wakati wa kuja kwao; bali watu wangu hawazijui amri za BWANA.


Bwana wake akajibu, akamwambia, Wewe mtumwa mbaya na mlegevu, ulijua ya kuwa navuna nisipopanda, nakusanya nisipotawanya;


Waangalieni ndege wa angani, ya kwamba hawapandi, wala hawavuni, wala hawakusanyi ghalani; na Baba yenu wa mbinguni huwalisha hao. Ninyi je! Si bora kuliko hao?


kwa bidii, bila kulegea; mkiwa na juhudi katika roho zenu; mkimtumikia Bwana;


ili msiwe wavivu, bali mkawe kama hao wazirithio ahadi kwa imani na uvumilivu.