Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Methali 6:9 - Swahili Revised Union Version

9 Ewe mvivu, utalala hadi lini? Utaondoka lini katika usingizi wako?

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

9 Ewe mvivu, utalala hapo mpaka lini? Utaamka lini katika usingizi wako?

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

9 Ewe mvivu, utalala hapo mpaka lini? Utaamka lini katika usingizi wako?

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

9 Ewe mvivu, utalala hapo mpaka lini? Utaamka lini katika usingizi wako?

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

9 Ewe mvivu, utalala hata lini? Utaamka lini kutoka usingizi wako?

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

9 Ewe mvivu, utalala hata lini? Utaamka lini kutoka usingizi wako?

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

9 Ewe mvivu, utalala hadi lini? Utaondoka lini katika usingizi wako?

Tazama sura Nakili




Methali 6:9
15 Marejeleo ya Msalaba  

Enyi wajinga miongoni mwa watu, fikirini; Enyi wapumbavu, lini mtakapopata akili?


Enyi wajinga, hata lini mtapenda ujinga? Na wenye dharau kupenda dharau yao, Na wapumbavu kuchukia maarifa?


Uvivu humtia mtu katika usingizi mzito; Na nafsi yake mvivu itaona njaa.


Usipende usingizi usije ukawa maskini; Fumbua macho yako nawe utashiba chakula.


Kama vile mlango ugeukavyo katika bawaba zake; Kadhalika mtu mvivu katika kitanda chake.


Bado kulala kidogo, kusinzia kidogo, Bado kukunja mikono upate usingizi!


Ewe mvivu, mwendee chungu, Zitafakari njia zake ukapate hekima.


Lakini hujiwekea akiba ya chakula wakati wa jua; Hukusanya chakula chake wakati wa mavuno.


Mpumbavu huikunja mikono yake, Naye hula chakula chake mwenyewe;


Ee Yerusalemu, jioshe moyo wako usiwe na uovu, upate kuokoka. Mawazo yako mabaya yatakaa ndani yako hata lini?


Palitokea mtu, ametumwa kutoka kwa Mungu, jina lake Yohana.


Naam, tukiujua wakati, kwamba saa ya kuamka katika usingizi imekwisha kuwadia; kwa maana sasa wokovu wetu uko karibu nasi kuliko tulipoanza kuamini


Hivyo husema, Amka, wewe usinziaye, Ufufuke katika wafu, Na Kristo atakuangaza.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo