Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Methali 6:8 - Swahili Revised Union Version

8 Lakini hujiwekea akiba ya chakula wakati wa jua; Hukusanya chakula chake wakati wa mavuno.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

8 lakini hujiwekea chakula wakati wa kiangazi, hujikusanyia akiba wakati wa mavuno.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

8 lakini hujiwekea chakula wakati wa kiangazi, hujikusanyia akiba wakati wa mavuno.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

8 lakini hujiwekea chakula wakati wa kiangazi, hujikusanyia akiba wakati wa mavuno.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

8 lakini hujiwekea akiba wakati wa kiangazi na hukusanya chakula chake wakati wa mavuno.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

8 lakini hujiwekea akiba wakati wa kiangazi na hukusanya chakula chake wakati wa mavuno.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

8 Lakini hujiwekea akiba ya chakula wakati wa jua; Hukusanya chakula chake wakati wa mavuno.

Tazama sura Nakili




Methali 6:8
5 Marejeleo ya Msalaba  

Akusanyaye wakati wa joto ni mwana mwenye hekima; Bali asinziaye wakati wa mavuno ni mwana mwenye kuaibisha.


Tena yatakuwapo maziwa ya mbuzi, Ya kukutosha kwa chakula chako, Na chakula cha watu wa nyumbani mwako, Na posho la vijakazi vyako.


Chungu ni watu wasio na nguvu; Lakini hujiwekea chakula wakati wa joto.


Ewe mvivu, utalala hadi lini? Utaondoka lini katika usingizi wako?


huku wakijiwekea akiba iwe msingi mzuri kwa wakati ujao, ili wapate uzima ulio kweli kweli.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo