Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Methali 20:4 - Swahili Revised Union Version

4 Mtu mvivu hataki kulima wakati wa baridi; Hivyo wakati wa mavuno ataomba, hana kitu.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

4 Mvivu halimi wakati wa kulima; wakati wa mavuno atatafuta asipate chochote.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

4 Mvivu halimi wakati wa kulima; wakati wa mavuno atatafuta asipate chochote.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

4 Mvivu halimi wakati wa kulima; wakati wa mavuno atatafuta asipate chochote.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

4 Mvivu halimi kwa majira; kwa hiyo wakati wa mavuno hutazama lakini hapati chochote.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

4 Mvivu halimi kwa majira; kwa hiyo wakati wa mavuno hutazama lakini hapati chochote.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

4 Mtu mvivu hataki kulima wakati wa baridi; Hivyo wakati wa mavuno ataomba, hana kitu.

Tazama sura Nakili




Methali 20:4
14 Marejeleo ya Msalaba  

Atendaye mambo kwa mkono mlegevu huwa maskini; Bali mkono wake aliye na bidii hutajirisha.


Nafsi ya mtu mvivu hutamani asipate kitu; Bali nafsi ya mwenye bidii itanenepeshwa.


Uvivu humtia mtu katika usingizi mzito; Na nafsi yake mvivu itaona njaa.


Mtu mvivu hutia mkono wake katika sahani; Wala hataki hata kuupeleka kinywani pake.


Mashauri ya moyoni ni kama kilindi; Lakini mtu mwenye ufahamu atayateka.


Matakwa yake mtu mvivu humwua, Kwa maana mikono yake hukataa kufanya kazi.


Hivyo, umaskini wako huja kama mnyang'anyi, Na uhitaji wako kama mtu mwenye silaha.


Ewe mvivu, mwendee chungu, Zitafakari njia zake ukapate hekima.


Mwenye kuuangalia upepo hatapanda; Naye ayatazamaye mawingu hatavuna.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo