Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Methali 20:5 - Swahili Revised Union Version

5 Mashauri ya moyoni ni kama kilindi; Lakini mtu mwenye ufahamu atayateka.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

5 Fikira za mtu zimefichika kama kilindi cha maji; lakini mtu mwenye busara ajua kuzichota humo.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

5 Fikira za mtu zimefichika kama kilindi cha maji; lakini mtu mwenye busara ajua kuzichota humo.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

5 Fikira za mtu zimefichika kama kilindi cha maji; lakini mtu mwenye busara ajua kuzichota humo.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

5 Makusudi ya moyo wa mwanadamu ni maji yenye kina, lakini mtu mwenye ufahamu huyachota.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

5 Makusudi ya moyo wa mwanadamu ni maji yenye kina, lakini mtu mwenye ufahamu huyachota.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

5 Mashauri ya moyoni ni kama kilindi; Lakini mtu mwenye ufahamu atayateka.

Tazama sura Nakili




Methali 20:5
5 Marejeleo ya Msalaba  

Ni nani atambuaye maovu yetu? Tumepanga njama kwa werevu mwingi, Maana katika moyo wa mtu na fikira mengi yamefichika.


Maneno ya kinywa cha mtu ni kama maji ya vilindi; Kijito kibubujikacho; chemchemi ya hekima.


Mtu mvivu hataki kulima wakati wa baridi; Hivyo wakati wa mavuno ataomba, hana kitu.


Wanadamu hutangaza kila mtu hisani yake mwenyewe; Bali mtu aliye mwaminifu, ni nani awezaye kumpata?


Maana ni nani katika binadamu ayajuaye mambo ya binadamu ila roho ya binadamu iliyo ndani yake? Vivyo hivyo na mambo ya Mungu hakuna ayafahamuye ila Roho wa Mungu.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo