Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Methali 19:15 - Swahili Revised Union Version

15 Uvivu humtia mtu katika usingizi mzito; Na nafsi yake mvivu itaona njaa.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

15 Uzembe ni kama usingizi mzito; mtu mvivu atateseka kwa njaa.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

15 Uzembe ni kama usingizi mzito; mtu mvivu atateseka kwa njaa.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

15 Uzembe ni kama usingizi mzito; mtu mvivu atateseka kwa njaa.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

15 Uvivu huleta usingizi mzito, naye mtu mzembe huona njaa.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

15 Uvivu huleta usingizi mzito, naye mtu mzembe huona njaa.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

15 Uvivu humtia mtu katika usingizi mzito; Na nafsi yake mvivu itaona njaa.

Tazama sura Nakili




Methali 19:15
14 Marejeleo ya Msalaba  

Yeye naye aliye mvivu katika kazi yake, Ni ndugu yake aliye mharibifu.


Mtu mvivu hutia mkono wake katika sahani; Wala hataki hata kuupeleka kinywani pake.


Usipende usingizi usije ukawa maskini; Fumbua macho yako nawe utashiba chakula.


Mtu mvivu husema, Simba yuko nje; Nitauawa katika njia kuu.


Kwa maana mlevi na mlafi huingia umaskini, Na utepetevu humvika mtu nguo mbovu.


Bado kulala kidogo, kusinzia kidogo, Bado kukunja mikono upate usingizi!


Huangalia sana njia za watu wa nyumbani mwake; Wala hali chakula cha uvivu.


Hivyo umaskini wako huja kama mnyang'anyi, Na uhitaji wako kama mtu mwenye silaha.


Walinzi wake ni vipofu, wote pia hawana maarifa; wote ni mbwa walio bubu, hawawezi kulia; huota ndoto, hulala, hupenda usingizi.


Hivyo husema, Amka, wewe usinziaye, Ufufuke katika wafu, Na Kristo atakuangaza.


Kwa kuwa hata wakati ule tulipokuwapo kwenu tuliwaagiza neno hili, kwamba ikiwa mtu hataki kufanya kazi, basi, asile chakula.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo