Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Methali 19:16 - Swahili Revised Union Version

16 Yeye aihifadhiye amri huihifadhi nafsi yake; Bali yeye asiyeziangalia njia zake atakufa.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

16 Anayeshika amri anasalimisha maisha yake; anayepuuza agizo atakufa.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

16 Anayeshika amri anasalimisha maisha yake; anayepuuza agizo atakufa.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

16 Anayeshika amri anasalimisha maisha yake; anayepuuza agizo atakufa.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

16 Yeye ambaye hutii mafundisho huulinda uhai wake, bali yeye anayezidharau njia zake atakufa.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

16 Yeye ambaye hutii mafundisho huulinda uhai wake, bali yeye anayezidharau njia zake atakufa.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

16 Yeye aihifadhiye amri huihifadhi nafsi yake; Bali yeye asiyeziangalia njia zake atakufa.

Tazama sura Nakili




Methali 19:16
25 Marejeleo ya Msalaba  

Kwani hasira humwua mtu mpumbavu, Nao wivu humwua mjinga.


Kwa wale walishikao agano lake, Na kuyakumbuka maagizo yake ili wayafanye.


Kila anayelidharau neno hujiletea uharibifu; Bali yeye anayeiogopa amri atapewa thawabu.


Akataaye maonyo huidharau nafsi yake mwenyewe; Bali yeye asikilizaye lawama hujipatia ufahamu.


Njia kuu ya mwenye haki ni kujitenga na uovu; Yeye ashikaye njia yake huihifadhi nafsi yake.


Mtu aikosaye njia ya busara Atakaa katika mkutano wao waliokufa.


Mtu azuiaye kinywa chake na ulimi wake, Atajilinda nafsi yake na taabu.


Miiba na mitego huwa katika njia ya mshupavu; Yeye aitunzaye nafsi yake atakuwa mbali nayo.


Pasipo maono, watu huacha kujizuia; Bali ana heri mtu yule aishikaye sheria.


Mwanangu, usiisahau sheria yangu, Bali moyo wako uzishike amri zangu.


Hii ndiyo jumla ya maneno; yote yamekwisha sikiwa; Mche Mungu, nawe uzishike amri zake, Maana kwa jumla ndiyo impasayo mtu.


Aishikaye amri hatajua neno baya; Na moyo wa mwenye hekima hujua wakati na hukumu.


lakini niliwaamuru neno hili, nikisema, Sikilizeni sauti yangu, nami nitakuwa Mungu wenu nanyi mtakuwa watu wangu; mkaende katika njia ile yote nitakayowaamuru mpate kufanikiwa.


Aliisikia sauti ya tarumbeta, wala hakuonywa; damu yake itakuwa juu yake; lakini kama angalionywa, angalijiokoa roho yake.


Kwani atafaidiwa nini mtu akiupata ulimwengu wote, na kuipoteza nafsi yake? Au mtu atatoa nini badala ya nafsi yake?


Akamwambia, Umejibu vema; fanya hivi nawe utaishi.


Lakini yeye alisema, Afadhali, heri walisikiao neno la Mungu na kulishika.


Mkinipenda, mtazishika amri zangu.


Kutahiriwa si kitu, na kutotahiriwa si kitu bali kuzihifadhi amri za Mungu.


na lolote tuombalo, tunalipokea kwake, kwa kuwa tunazishika amri zake, na kuyatenda yapendezayo machoni pake.


Kwa maana huku ndiko kumpenda Mungu, kwamba tuzishike amri zake; wala amri zake si nzito.


Heri wazifuao nguo zao, ili wawe na haki ya kuuendea huo mti wa uzima, na kuingia mjini kwa milango yake.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo