Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Methali 15:19 - Swahili Revised Union Version

19 Njia ya mtu mvivu ni kama boma la miiba; Bali mapito yao wenye unyofu hufanyika njia kuu.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

19 Njia ya mvivu imesambaa miiba, njia ya mwaminifu ni wazi kama barabara kuu.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

19 Njia ya mvivu imesambaa miiba, njia ya mwaminifu ni wazi kama barabara kuu.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

19 Njia ya mvivu imesambaa miiba, njia ya mwaminifu ni wazi kama barabara kuu.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

19 Njia ya mvivu imezibwa na miiba, bali njia ya mwenye haki ni barabara kuu.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

19 Njia ya mvivu imezibwa na miiba, bali njia ya mwenye haki ni barabara kuu.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

19 Njia ya mtu mvivu ni kama boma la miiba; Bali mapito yao wenye unyofu hufanyika njia kuu.

Tazama sura Nakili




Methali 15:19
18 Marejeleo ya Msalaba  

Ni nani amchaye BWANA? Atamfundisha katika njia anayoichagua.


Ee BWANA, unifundishe njia yako, Na kuniongoza katika njia iliyonyoka; Kwa sababu yao wanaoniotea;


BWANA, uniongoze kwa haki yako, Kwa sababu yao wanaoniotea. Uinyoshe njia yako mbele ya uso wangu,


Haki yake mtu mkamilifu itamwongoza njia yake; Bali mtu mwovu ataanguka kwa uovu wake.


Mtu wa hasira huchochea ugomvi; Bali asiye mwepesi wa hasira hutuliza mashindano.


Mwana mwenye hekima humfurahisha babaye; Bali mpumbavu humdharau mamaye.


Mtu mvivu husema, Simba yuko nje; Nitauawa katika njia kuu.


Miiba na mitego huwa katika njia ya mshupavu; Yeye aitunzaye nafsi yake atakuwa mbali nayo.


Mtu mvivu husema, Simba yuko njiani, Simba yuko katika njia kuu.


Katika njia zako zote mkiri yeye, Naye atayanyosha mapito yako.


Ewe mvivu, mwendee chungu, Zitafakari njia zake ukapate hekima.


Yote humwelea yule afahamuye, Yote huelekea mbele yao waliopata maarifa.


na masikio yako yatasikia neno nyuma yako, likisema, Njia ni hii, ifuateni; mgeukapo kwenda mkono wa kulia, na mgeukapo kwenda mkono wa kushoto.


Na hapo patakuwa na njia kuu, na njia, nayo itaitwa, Njia ya utakatifu; wasio safi hawatapita juu yake; bali itakuwa kwa ajili ya watu hao; wasafirio, wajapokuwa wajinga, hawatapotea katika njia hiyo.


Naye atasema, Tutieni, tutieni, Itengenezeni njia, Ondoeni kila kizuizi Katika njia ya watu wangu.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo