Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Methali 18:9 - Swahili Revised Union Version

9 Yeye naye aliye mvivu katika kazi yake, Ni ndugu yake aliye mharibifu.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

9 Mtu mvivu kazini mwake ni ndugu yake mharibifu.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

9 Mtu mvivu kazini mwake ni ndugu yake mharibifu.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

9 Mtu mvivu kazini mwake ni ndugu yake mharibifu.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

9 Mtu aliye mlegevu katika kazi yake ni ndugu na yule anayeharibu.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

9 Mtu aliye mlegevu katika kazi yake ni ndugu na yule anayeharibu.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

9 Yeye naye aliye mvivu katika kazi yake, Ni ndugu yake aliye mharibifu.

Tazama sura Nakili




Methali 18:9
12 Marejeleo ya Msalaba  

Mimi ni ndugu yao mbwamwitu, Ni mwenzao mbuni.


Atendaye mambo kwa mkono mlegevu huwa maskini; Bali mkono wake aliye na bidii hutajirisha.


Maneno ya mchongezi ni kama vitoweo; Nayo hushukia pande za ndani za tumbo.


Uvivu humtia mtu katika usingizi mzito; Na nafsi yake mvivu itaona njaa.


Aibaye mali ya babaye au mamaye, na kusema, Si kosa; Mwana huyo ni rafiki wa mtu mharibifu.


Bwana wake akajibu, akamwambia, Wewe mtumwa mbaya na mlegevu, ulijua ya kuwa navuna nisipopanda, nakusanya nisipotawanya;


kwa bidii, bila kulegea; mkiwa na juhudi katika roho zenu; mkimtumikia Bwana;


ili msiwe wavivu, bali mkawe kama hao wazirithio ahadi kwa imani na uvumilivu.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo