Methali 18:8 - Swahili Revised Union Version8 Maneno ya mchongezi ni kama vitoweo; Nayo hushukia pande za ndani za tumbo. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema8 Maneno ya msengenyaji ni kama kitoweo kitamu; ambacho hushuka moja kwa moja mpaka tumboni. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND8 Maneno ya msengenyaji ni kama kitoweo kitamu; ambacho hushuka moja kwa moja mpaka tumboni. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza8 Maneno ya msengenyaji ni kama kitoweo kitamu; ambacho hushuka moja kwa moja mpaka tumboni. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu8 Maneno ya mchongezi ni kama chakula kitamu; huingia sehemu za ndani sana za mtu. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu8 Maneno ya mchongezi ni kama chakula kitamu; huingia sehemu za ndani sana za mtu. Tazama suraBIBLIA KISWAHILI8 Maneno ya mchongezi ni kama vitoweo; Nayo hushukia pande za ndani za tumbo. Tazama sura |