Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Methali 18:8 - Swahili Revised Union Version

8 Maneno ya mchongezi ni kama vitoweo; Nayo hushukia pande za ndani za tumbo.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

8 Maneno ya msengenyaji ni kama kitoweo kitamu; ambacho hushuka moja kwa moja mpaka tumboni.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

8 Maneno ya msengenyaji ni kama kitoweo kitamu; ambacho hushuka moja kwa moja mpaka tumboni.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

8 Maneno ya msengenyaji ni kama kitoweo kitamu; ambacho hushuka moja kwa moja mpaka tumboni.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

8 Maneno ya mchongezi ni kama chakula kitamu; huingia sehemu za ndani sana za mtu.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

8 Maneno ya mchongezi ni kama chakula kitamu; huingia sehemu za ndani sana za mtu.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

8 Maneno ya mchongezi ni kama vitoweo; Nayo hushukia pande za ndani za tumbo.

Tazama sura Nakili




Methali 18:8
8 Marejeleo ya Msalaba  

Ulimi wako watunga madhara, Kama wembe mkali, Ewe mwenye hila.


Kuna anenaye bila kufikiri, kama kuchoma kwa upanga; Bali ulimi wa mwenye haki ni afya.


Mtu mshupavu huleta fitina; Na mchongezi huwafarakanisha rafiki.


Kinywa cha mpumbavu ni uharibifu wake, Na midomo yake ni mtego wa nafsi yake.


Yeye naye aliye mvivu katika kazi yake, Ni ndugu yake aliye mharibifu.


Usiende huku na huko katikati ya watu wako, kama mchongezi; wala usijifaidi kwa damu ya jirani yako; mimi ndimi BWANA.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo