Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Methali 19:24 - Swahili Revised Union Version

24 Mtu mvivu hutia mkono wake katika sahani; Wala hataki hata kuupeleka kinywani pake.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

24 Mvivu ni kama mtu atiaye mkono katika sahani ya chakula, lakini hana nguvu ya kuuinua hadi mdomoni.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

24 Mvivu ni kama mtu atiaye mkono katika sahani ya chakula, lakini hana nguvu ya kuuinua hadi mdomoni.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

24 Mvivu ni kama mtu atiaye mkono katika sahani ya chakula, lakini hana nguvu ya kuuinua hadi mdomoni.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

24 Mtu mvivu hutumbukiza mkono wake kwenye sahani, lakini hawezi hata kuupeleka kwenye kinywa chake!

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

24 Mtu mvivu hutumbukiza mkono wake kwenye sahani, lakini hawezi hata kuupeleka kwenye kinywa chake!

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

24 Mtu mvivu hutia mkono wake katika sahani; Wala hataki hata kuupeleka kinywani pake.

Tazama sura Nakili




Methali 19:24
10 Marejeleo ya Msalaba  

Mbona unaurudisha mkono wako, Naam, mkono wako wa kulia, Uutoe kifuani mwako, Ukawaangamize kabisa.


Mtu mvivu hapiki mawindo yake; Bali mwenye bidii anazo mali za thamani.


Njia ya mtu mvivu ni kama boma la miiba; Bali mapito yao wenye unyofu hufanyika njia kuu.


Uvivu humtia mtu katika usingizi mzito; Na nafsi yake mvivu itaona njaa.


Matakwa yake mtu mvivu humwua, Kwa maana mikono yake hukataa kufanya kazi.


Akajibu akasema, Yeye aliyetia mkono wake pamoja nami katika bakuli, ndiye atakayenisaliti.


Akawaambia, Ni mmoja wa hao Kumi na Wawili, ambaye achovya pamoja nami katika kombe.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo