Waebrania 6:12 - Swahili Revised Union Version12 ili msiwe wavivu, bali mkawe kama hao wazirithio ahadi kwa imani na uvumilivu. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema12 Hivyo msiwe wavivu, bali muwe kama wale wanaoamini na wenye uvumilivu, wakapokea yale aliyoahidi Mungu. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND12 Hivyo msiwe wavivu, bali muwe kama wale wanaoamini na wenye uvumilivu, wakapokea yale aliyoahidi Mungu. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza12 Hivyo msiwe wavivu, bali muwe kama wale wanaoamini na wenye uvumilivu, wakapokea yale aliyoahidi Mungu. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu12 ili msije mkawa wavivu, bali mpate kuwaiga wale ambao kwa imani na saburi hurithi zile ahadi. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu12 ili msije mkawa wavivu, bali mpate kuwaiga wale ambao kwa imani na saburi hurithi zile ahadi. Tazama suraBIBLIA KISWAHILI12 ili msiwe wavivu, bali mkawe kama hao wazirithio ahadi kwa imani na uvumilivu. Tazama sura |