Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Methali 21:25 - Swahili Revised Union Version

25 Matakwa yake mtu mvivu humwua, Kwa maana mikono yake hukataa kufanya kazi.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

25 Mvivu hufa kwa kutotimizwa tamaa zake, maana mikono yake milegevu haitaki kufanya kazi.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

25 Mvivu hufa kwa kutotimizwa tamaa zake, maana mikono yake milegevu haitaki kufanya kazi.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

25 Mvivu hufa kwa kutotimizwa tamaa zake, maana mikono yake milegevu haitaki kufanya kazi.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

25 Kutamani sana kwa mvivu kutakuwa kifo chake, kwa sababu mikono yake haitaki kufanya kazi.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

25 Kutamani sana kwa mvivu kutakuwa kifo chake, kwa sababu mikono yake haitaki kufanya kazi.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

25 Matakwa yake mtu mvivu humwua, Kwa maana mikono yake hukataa kufanya kazi.

Tazama sura Nakili




Methali 21:25
13 Marejeleo ya Msalaba  

Mkono wa mwenye bidii utatawala; Bali mvivu atalipishwa kodi.


Mtu mvivu hapiki mawindo yake; Bali mwenye bidii anazo mali za thamani.


Nafsi ya mtu mvivu hutamani asipate kitu; Bali nafsi ya mwenye bidii itanenepeshwa.


Njia ya mtu mvivu ni kama boma la miiba; Bali mapito yao wenye unyofu hufanyika njia kuu.


Mtu mvivu hutia mkono wake katika sahani; Wala hataki hata kuupeleka kinywani pake.


Mtu mvivu hataki kulima wakati wa baridi; Hivyo wakati wa mavuno ataomba, hana kitu.


Mtu mvivu husema, Simba yuko nje; Nitauawa katika njia kuu.


Mtu mvivu husema, Simba yuko njiani, Simba yuko katika njia kuu.


Mtu mvivu ni mwenye hekima machoni pake, Kuliko watu saba wawezao kutoa sababu.


Bwana wake akajibu, akamwambia, Wewe mtumwa mbaya na mlegevu, ulijua ya kuwa navuna nisipopanda, nakusanya nisipotawanya;


Wakarejea kwa Yoshua wakamwambia, Wasiende watu wote, ila waende watu kama elfu mbili, tatu, wakaupige Ai; usiwataabishe watu wote kwenda huko maana watu hao ni wachache tu.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo