Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Methali 21:26 - Swahili Revised Union Version

26 Kuna atamaniye kwa choyo mchana kutwa; Bali mwenye haki hutoa wala hanyimi.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

26 Mchana kutwa mwovu hutamani kupata kitu, lakini mwadilifu hutoa, tena kwa ukarimu.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

26 Mchana kutwa mwovu hutamani kupata kitu, lakini mwadilifu hutoa, tena kwa ukarimu.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

26 Mchana kutwa mwovu hutamani kupata kitu, lakini mwadilifu hutoa, tena kwa ukarimu.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

26 Mchana kutwa hutamani zaidi, lakini mnyofu hutoa pasipo kuzuia.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

26 Mchana kutwa hutamani zaidi, lakini mnyofu hutoa pasipo kuzuia.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

26 Kuna atamaniye kwa choyo mchana kutwa; Bali mwenye haki hutoa wala hanyimi.

Tazama sura Nakili




Methali 21:26
11 Marejeleo ya Msalaba  

na asali, na siagi, na kondoo, na samli ya ng'ombe, wapate kula Daudi na watu waliokuwa pamoja naye; kwani walisema, Watu hao wanaona njaa, tena wamechoka, nao wana kiu huku nyikani.


Heri atendaye fadhili na kukopesha; Atengenezaye mambo yake kwa haki.


Ametoa kwa ukarimu, na kuwapa maskini, Haki yake yakaa milele, Pembe yake itatukuzwa kwa utukufu.


Mchana kutwa hufadhili na kukopesha, Na mzao wake hubarikiwa.


Akuombaye, mpe; naye atakaye kukopa kwako, usimpe kisogo.


Mwizi asiibe tena; bali afadhali afanye juhudi, akifanya kazi iliyo nzuri kwa mikono yake mwenyewe, apate kuwa na kitu cha kumgawia mhitaji.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo