Methali 13:4 - Swahili Revised Union Version4 Nafsi ya mtu mvivu hutamani asipate kitu; Bali nafsi ya mwenye bidii itanenepeshwa. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema4 Mvivu hutamani lakini hapati chochote, hali mwenye bidii hujaliwa riziki kwa wingi. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND4 Mvivu hutamani lakini hapati chochote, hali mwenye bidii hujaliwa riziki kwa wingi. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza4 Mvivu hutamani lakini hapati chochote, hali mwenye bidii hujaliwa riziki kwa wingi. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu4 Mvivu hutamani sana na hapati kitu, bali nafsi ya mwenye bidii hutoshelezwa kikamilifu. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu4 Mvivu hutamani sana na hapati kitu, bali nafsi ya mwenye bidii hutoshelezwa kikamilifu. Tazama suraBIBLIA KISWAHILI4 Nafsi ya mtu mvivu hutamani asipate kitu; Bali nafsi ya mwenye bidii itanenepeshwa. Tazama sura |