Ikawa siku ileile, watumwa wa Isaka wakaja wakampasha habari za kile kisima walichokuwa wamekichimba, wakamwambia, Tumeona maji.
Methali 10:4 - Swahili Revised Union Version Atendaye mambo kwa mkono mlegevu huwa maskini; Bali mkono wake aliye na bidii hutajirisha. Matoleo zaidiBiblia Habari Njema Uvivu husababisha umaskini, lakini mkono wa mtu wa bidii hutajirisha. Biblia Habari Njema - BHND Uvivu husababisha umaskini, lakini mkono wa mtu wa bidii hutajirisha. Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza Uvivu husababisha umaskini, lakini mkono wa mtu wa bidii hutajirisha. Neno: Bibilia Takatifu Mikono mivivu hufanya mtu kuwa maskini lakini mikono yenye bidii huleta utajiri. Neno: Maandiko Matakatifu Mikono mivivu hufanya mtu kuwa maskini lakini mikono yenye bidii huleta utajiri. BIBLIA KISWAHILI Atendaye mambo kwa mkono mlegevu huwa maskini; Bali mkono wake aliye na bidii hutajirisha. |
Ikawa siku ileile, watumwa wa Isaka wakaja wakampasha habari za kile kisima walichokuwa wamekichimba, wakamwambia, Tumeona maji.
Akusanyaye wakati wa joto ni mwana mwenye hekima; Bali asinziaye wakati wa mavuno ni mwana mwenye kuaibisha.
Kuna atawanyaye, lakini huongezewa zaidi; Kuna azuiaye isivyo haki, lakini huelekea uhitaji.
Msikitendee kazi chakula chenye kuharibika, bali chakula kidumucho hata uzima wa milele; ambacho Mwana wa Adamu atawapa, kwa sababu huyo ndiye aliyetiwa mhuri na Baba, yaani, Mungu.
Basi, ndugu zangu wapendwa, mwimarike, msitikisike, mkazidi sana kutenda kazi ya Bwana sikuzote, kwa kuwa mnajua ya kwamba taabu yenu siyo bure katika Bwana.