Methali 10:5 - Swahili Revised Union Version5 Akusanyaye wakati wa joto ni mwana mwenye hekima; Bali asinziaye wakati wa mavuno ni mwana mwenye kuaibisha. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema5 Mwenye busara hukusanya wakati wa mavuno, kulala wakati wa kuvuna ni aibu. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND5 Mwenye busara hukusanya wakati wa mavuno, kulala wakati wa kuvuna ni aibu. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza5 Mwenye busara hukusanya wakati wa mavuno, kulala wakati wa kuvuna ni aibu. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu5 Yeye akusanyaye mazao wakati wa kiangazi ni mwana mwenye hekima, lakini yeye alalaye wakati wa mavuno ni mwana mwenye kuaibisha. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu5 Yeye akusanyaye mazao wakati wa kiangazi ni mwana mwenye hekima, lakini yeye alalaye wakati wa mavuno ni mwana mwenye kuaibisha. Tazama suraBIBLIA KISWAHILI5 Akusanyaye wakati wa joto ni mwana mwenye hekima; Bali asinziaye wakati wa mavuno ni mwana mwenye kuaibisha. Tazama sura |