Methali 10:3 - Swahili Revised Union Version3 BWANA hataiacha nafsi ya mwenye haki ife na njaa; Bali tamaa ya mtu mwovu huisukumia mbali. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema3 Mwenyezi-Mungu hawaachi waadilifu wapate njaa, lakini huzipinga tamaa za waovu. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND3 Mwenyezi-Mungu hawaachi waadilifu wapate njaa, lakini huzipinga tamaa za waovu. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza3 Mwenyezi-Mungu hawaachi waadilifu wapate njaa, lakini huzipinga tamaa za waovu. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu3 Mwenyezi Mungu hawaachi waadilifu kukaa njaa, lakini hupinga tamaa ya mtu mwovu. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu3 bwana hawaachi waadilifu kukaa njaa, lakini hupinga tamaa ya mtu mwovu. Tazama suraBIBLIA KISWAHILI3 BWANA hataiacha nafsi ya mwenye haki ife na njaa; Bali tamaa ya mtu mwovu huisukumia mbali. Tazama sura |