Mhubiri 10:18 - Swahili Revised Union Version18 Kwa sababu ya uvivu paa hunepa; Na kwa ulegevu wa mikono nyumba huvuja. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema18 Kutokana na uvivu wa mtu, paa hubonyea; kwa sababu ya uzembe, nyumba huvuja. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND18 Kutokana na uvivu wa mtu, paa hubonyea; kwa sababu ya uzembe, nyumba huvuja. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza18 Kutokana na uvivu wa mtu, paa hubonyea; kwa sababu ya uzembe, nyumba huvuja. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu18 Kama mtu ni mvivu, paa la nyumba huinama; kutokana na mikono milegevu, nyumba huvuja. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu18 Kama mtu ni mvivu paa la nyumba huinama, kutokana na mikono milegevu, nyumba huvuja. Tazama sura |