Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Methali 15:4 - Swahili Revised Union Version

Ulimi safi ni mti wa uzima; Bali ukorofi wa ulimi huvunja moyo.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Ulimi mpole ni chanzo cha uhai, lakini uovu wake huvunja moyo.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Ulimi mpole ni chanzo cha uhai, lakini uovu wake huvunja moyo.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Ulimi mpole ni chanzo cha uhai, lakini uovu wake huvunja moyo.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Ulimi uletao uponyaji ni mti wa uzima, bali ulimi udanganyao huponda roho.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Ulimi uletao uponyaji ni mti wa uzima, bali ulimi udanganyao huponda roho.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Ulimi safi ni mti wa uzima; Bali ukorofi wa ulimi huvunja moyo.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Methali 15:4
15 Marejeleo ya Msalaba  

Kwa maana mimi ni mnyonge na mhitaji, Na moyo wangu umejeruhiwa ndani yangu.


Kinywa chake mwenye haki ni chemchemi ya uzima; Bali jeuri hufunika kinywa chake mtu mwovu,


Kuna anenaye bila kufikiri, kama kuchoma kwa upanga; Bali ulimi wa mwenye haki ni afya.


Macho ya BWANA yako kila mahali; Yakimchunguza mbaya na mwema.


Mpumbavu hudharau kurudiwa na babaye; Bali yeye aangaliaye maonyo hupata busara.


Maneno yapendezayo ni kama sega la asali; Ni tamu nafsini, na afya mifupani.


Roho ya mtu itastahimili udhaifu wake; Bali roho iliyovunjika nani awezaye kuistahimili?


Maneno ya mchongezi ni kama vitoweo; Nayo hushukia pande za ndani za tumbo.


Maneno ya mchongezi ni kama vitoweo. Nayo hushukia pande za ndani za tumbo.


Yeye ni mti wa uzima kwao wamshikao sana; Ana heri kila mtu anayeshikamana naye.


Lakini kwenu ninyi mnaolicha jina langu, jua la haki litawachomozea, likiwa na uwezo wa kuponya katika miale yake; nanyi mtatoka nje, na kuchezacheza kama ndama watokapo mazizini.


Mtu awaye yote akitoa mafundisho mengine, wala hayakubali maneno yenye uzima ya Bwana wetu Yesu Kristo, wala mafundisho yapatanayo na utauwa,


Yeye aliye na sikio, na alisikie neno hili ambalo Roho anayaambia makanisa. Yeye ashindaye, nitampa kula matunda ya mti wa uzima, ulio katika bustani ya Mungu.