Methali 3:18 - Swahili Revised Union Version18 Yeye ni mti wa uzima kwao wamshikao sana; Ana heri kila mtu anayeshikamana naye. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema18 Hekima ni mti wa uhai kwa wote wampatao; wana heri wote wanaoshikamana naye. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND18 Hekima ni mti wa uhai kwa wote wampatao; wana heri wote wanaoshikamana naye. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza18 Hekima ni mti wa uhai kwa wote wampatao; wana heri wote wanaoshikamana naye. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu18 Yeye ni mti wa uzima kwa wale wanaomkumbatia; wale wamshikao watabarikiwa. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu18 Yeye ni mti wa uzima kwa wale wanaomkumbatia; wale wamshikao watabarikiwa. Tazama suraBIBLIA KISWAHILI18 Yeye ni mti wa uzima kwao wamshikao sana; Ana heri kila mtu anayeshikamana naye. Tazama sura |