Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Methali 3:18 - Swahili Revised Union Version

18 Yeye ni mti wa uzima kwao wamshikao sana; Ana heri kila mtu anayeshikamana naye.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

18 Hekima ni mti wa uhai kwa wote wampatao; wana heri wote wanaoshikamana naye.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

18 Hekima ni mti wa uhai kwa wote wampatao; wana heri wote wanaoshikamana naye.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

18 Hekima ni mti wa uhai kwa wote wampatao; wana heri wote wanaoshikamana naye.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

18 Yeye ni mti wa uzima kwa wale wanaomkumbatia; wale wamshikao watabarikiwa.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

18 Yeye ni mti wa uzima kwa wale wanaomkumbatia; wale wamshikao watabarikiwa.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

18 Yeye ni mti wa uzima kwao wamshikao sana; Ana heri kila mtu anayeshikamana naye.

Tazama sura Nakili




Methali 3:18
11 Marejeleo ya Msalaba  

BWANA Mungu akachipusha katika ardhi kila mti unaotamanika kwa macho na kufaa kwa kuliwa; na mti wa uzima katikati ya bustani, na mti wa ujuzi wa mema na mabaya.


BWANA Mungu akasema, Basi, huyu mtu amekuwa kama mmoja wetu, kwa kujua mema na mabaya; na sasa asije akanyosha mkono wake akatwaa matunda ya mti wa uzima, akala, akaishi milele;


Mazao ya mwenye haki ni mti wa uzima; Na mwenye hekima huvuta roho za watu.


Kilichotarajiwa kikikawia kuja, moyo huugua. Bali haja ya mtu ikipatikana, ni mti wa uzima.


Ulimi safi ni mti wa uzima; Bali ukorofi wa ulimi huvunja moyo.


Mkamate sana elimu, usimwache aende zake; Mshike, maana yeye ni uzima wako.


Basi, wanangu, nisikilizeni sasa; Maana heri hao wazishikao amri zangu.


Ana heri mtu yule anisikilizaye, Akisubiri sikuzote malangoni pangu, Akingoja penye vizingiti vya milango yangu.


Kwa maana ulinzi wa hekima ni kama ulinzi wa fedha na ubora wa maarifa ni kwamba hekima humhifadhi yeye aliye nayo.


Yeye aliye na sikio, na alisikie neno hili ambalo Roho anayaambia makanisa. Yeye ashindaye, nitampa kula matunda ya mti wa uzima, ulio katika bustani ya Mungu.


katikati ya njia yake kuu. Na upande huu na huu kando ya ule mto, ulikuwapo mti wa uzima, uzaao matunda, aina kumi na mbili, wenye kutoa matunda yake kila mwezi; na majani ya mti huo ni ya kuwaponya mataifa.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo