Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Methali 3:17 - Swahili Revised Union Version

17 Njia zake ni njia za kupendeza sana, Na mapito yake yote ni amani.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

17 Njia zake ni za kupendeza, zote zaelekea kwenye amani.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

17 Njia zake ni za kupendeza, zote zaelekea kwenye amani.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

17 Njia zake ni za kupendeza, zote zaelekea kwenye amani.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

17 Njia zake zinapendeza, mapito yake yote ni amani.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

17 Njia zake zinapendeza, mapito yake yote ni amani.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

17 Njia zake ni njia za kupendeza sana, Na mapito yake yote ni amani.

Tazama sura Nakili




Methali 3:17
19 Marejeleo ya Msalaba  

Haleluya. Heri mtu yule amchaye BWANA, Apendezwaye sana na maagizo yake.


Mausia yako ni matamu sana kwangu, Kupita asali kinywani mwangu.


Nimeifurahia njia ya shuhuda zako Kana kwamba ni mali mengi.


Wana amani nyingi waipendao sheria yako, Wala hawana la kuwakwaza.


Ee BWANA, nimeutamani wokovu wako, Na sheria yako ndiyo furaha yangu.


Nami nitajifurahisha sana kwa maagizo yako, Ambayo nimeyapenda.


Njia zote za BWANA ni fadhili na kweli, Kwao walishikao agano lake na shuhuda zake.


Bali wenye upole watairithi nchi, Watajifurahisha kwa wingi wa amani.


Njia za mtu zikimpendeza BWANA, Hata adui zake huwapatanisha naye.


Maana hekima itaingia moyoni mwako, Na maarifa yatakupendeza nafsi yako;


maana ni vizuri kuyahifadhi ndani yako, hali yakithibitika pamoja midomoni mwako.


Utamlinda yeye ambaye moyo wake umekutegemea Katika amani kamilifu, kwa kuwa anakutumaini.


Mimi nayaumba matunda ya midomo; Amani, amani, kwake yeye aliye mbali, na kwake yeye aliye karibu; asema BWANA; nami nitamponya.


Kuwaangaza wakaao katika giza na uvuli wa mauti, Na kuiongoza miguu yetu kwenye njia ya amani.


Basi tukiisha kuhesabiwa haki itokayo katika imani, na muwe na amani kwa Mungu, kwa njia ya Bwana wetu Yesu Kristo,


Tufuate:

Matangazo


Matangazo