Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Methali 26:22 - Swahili Revised Union Version

22 Maneno ya mchongezi ni kama vitoweo. Nayo hushukia pande za ndani za tumbo.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

22 Maneno ya msengenyaji ni kama kitoweo; hushuka mpaka ndani kabisa tumboni.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

22 Maneno ya msengenyaji ni kama kitoweo; hushuka mpaka ndani kabisa tumboni.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

22 Maneno ya msengenyaji ni kama kitoweo; hushuka mpaka ndani kabisa tumboni.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

22 Maneno ya mchongezi ni kama chakula kitamu; huingia sehemu za ndani sana za mtu.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

22 Maneno ya mchongezi ni kama chakula kitamu; huingia sehemu za ndani sana za mtu.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

22 Maneno ya mchongezi ni kama vitoweo. Nayo hushukia pande za ndani za tumbo.

Tazama sura Nakili




Methali 26:22
4 Marejeleo ya Msalaba  

Maneno ya mchongezi ni kama vitoweo; Nayo hushukia pande za ndani za tumbo.


Mwenye udaku hufunua siri; Basi, usishirikiane naye afunuaye midomo yake sana.


Wasingiziaji wamekuwamo ndani yako, ili kumwaga damu; na ndani yako wamekula juu ya milima; kati yako wamefanya uasherati.


Usiende huku na huko katikati ya watu wako, kama mchongezi; wala usijifaidi kwa damu ya jirani yako; mimi ndimi BWANA.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo