Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Methali 10:11 - Swahili Revised Union Version

11 Kinywa chake mwenye haki ni chemchemi ya uzima; Bali jeuri hufunika kinywa chake mtu mwovu,

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

11 Kinywa cha mwadilifu ni chemchemi ya uhai, lakini kinywa cha mwovu kimesongwa na ukatili.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

11 Kinywa cha mwadilifu ni chemchemi ya uhai, lakini kinywa cha mwovu kimesongwa na ukatili.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

11 Kinywa cha mwadilifu ni chemchemi ya uhai, lakini kinywa cha mwovu kimesongwa na ukatili.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

11 Kinywa cha mwenye haki ni chemchemi ya uzima, lakini jeuri hufunika kinywa cha mwovu.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

11 Kinywa cha mwenye haki ni chemchemi ya uzima, lakini jeuri hufunika kinywa cha mwovu.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

11 Kinywa chake mwenye haki ni chemchemi ya uzima; Bali jeuri hufunika kinywa chake mtu mwovu,

Tazama sura Nakili




Methali 10:11
15 Marejeleo ya Msalaba  

Wanyofu wa moyo wanaona na kufurahi, Na waovu wote wananyamazishwa.


Midomo ya mwenye haki huyajua yatakayokubaliwa; Bali kinywa chao wasio haki hunena ukaidi.


Baraka humkalia mwenye haki kichwani; Bali jeuri hufunika kinywa chake mtu mwovu.


Sheria ya mwenye akili ni chemchemi ya uzima, Ili kuepukana na tanzi za mauti.


Ulimi safi ni mti wa uzima; Bali ukorofi wa ulimi huvunja moyo.


Midomo ya mwenye haki hueneza maarifa; Bali moyo wa mpumbavu haufanyi hivyo.


Maneno ya kinywa cha mtu ni kama maji ya vilindi; Kijito kibubujikacho; chemchemi ya hekima.


Dhahabu iko, na marijani tele; Lakini midomo ya maarifa ni kito cha thamani.


Neno lolote lililo ovu lisitoke vinywani mwenu, bali lililo jema la kumfaa mwenye kuhitaji, ili liwape neema wanaosikia.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo