Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Methali 10:10 - Swahili Revised Union Version

10 Akonyezaye kwa jicho huleta masikitiko; Bali mpumbavu mwenye maneno mengi ataanguka.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

10 Akonyezaye kwa nia mbaya huzusha taabu, lakini aonyaye kwa ujasiri huleta amani.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

10 Akonyezaye kwa nia mbaya huzusha taabu, lakini aonyaye kwa ujasiri huleta amani.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

10 Akonyezaye kwa nia mbaya huzusha taabu, lakini aonyaye kwa ujasiri huleta amani.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

10 Yeye akonyezaye kwa nia mbaya husababisha huzuni, naye mpumbavu apayukaye huangamia.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

10 Yeye akonyezaye kwa nia mbaya husababisha huzuni, naye mpumbavu apayukaye huangamia.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

10 Akonyezaye kwa jicho huleta masikitiko; Bali mpumbavu mwenye maneno mengi ataanguka.

Tazama sura Nakili




Methali 10:10
9 Marejeleo ya Msalaba  

Mbona moyo wako unakutaharakisha! Na macho yako, je! Kwa nini yaangae?


Walio adui zangu bure wasinisimange, Wanaonichukia bila sababu wasining'ong'e.


Watu wenye akili huweka akiba ya maarifa; Bali kinywa cha mpumbavu ni uangamivu ulio karibu.


Aliye na akili moyoni mwake atapokea agizo; Bali mpumbavu mwenye maneno mengi ataanguka.


Afumbaye macho, kusudi lake ni kuwaza yaliyopotoka; Aikazaye midomo yake hutokeza mabaya.


Mauti na uzima huwa katika uwezo wa ulimi; Na wao waupendao watakula matunda yake.


Hukonyeza kwa macho, hunena kwa miguu, Huwaashiria watu kwa vidole vyake.


Kwa hiyo, nikija, nitayakumbuka matendo yake atendayo, atoavyo upuzi juu yetu kwa maneno maovu; wala hatoshwi na hayo, ila yeye mwenyewe hawakaribishi hao ndugu, na wale watakao kuwakaribisha, huwazuia, na kuwatoa katika kanisa.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo