Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Methali 10:9 - Swahili Revised Union Version

9 Aendaye kwa unyofu huenda salama; Bali apotoshaye njia zake atajulikana.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

9 Aishiye kwa unyofu huishi salama, apotoshaye maisha yake atagunduliwa.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

9 Aishiye kwa unyofu huishi salama, apotoshaye maisha yake atagunduliwa.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

9 Aishiye kwa unyofu huishi salama, apotoshaye maisha yake atagunduliwa.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

9 Mtu mwadilifu hutembea salama, lakini mtu aendaye katika njia zilizopotoka atagunduliwa.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

9 Mtu mwadilifu hutembea salama, lakini mtu aendaye katika njia zilizopotoka atagunduliwa.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

9 Aendaye kwa unyofu huenda salama; Bali apotoshaye njia zake atajulikana.

Tazama sura Nakili




Methali 10:9
17 Marejeleo ya Msalaba  

Abramu alipokuwa mtu wa miaka tisini na tisa, BWANA akamtokea Abramu, akamwambia, Mimi ni Mungu Mwenyezi, uende mbele yangu, ukawe mkamilifu.


Tazama, Mungu hatamtupa mtu mkamilifu, Wala hatawathibitisha watendao uovu.


Naam, nijapopita kati ya bonde la kivuli cha mauti, Sitaogopa mabaya; Kwa maana Wewe upo pamoja nami, Gongo lako na fimbo yako vyanifariji.


Ukamilifu na unyofu zinihifadhi, Maana nakungoja Wewe.


Kwa kuwa BWANA, Mungu, ni jua na ngao, BWANA atatoa neema na utukufu. Hatawanyima kitu chema Hao waendao kwa ukamilifu.


Mtu mwenye moyo wa ukaidi hatapata mema; Na mwenye ulimi wa upotovu huanguka katika misiba.


Ingawa chuki hufunikwa na hila; Uovu wake utadhihirika mbele ya kusanyiko.


Waovu hukimbia wasipofuatiwa na mtu; Bali wenye haki ni wajasiri kama simba.


Aendaye kwa unyofu ataokolewa; Bali mkaidi wa njia zake ataanguka mara.


Ndipo utakapokwenda katika njia yako salama, Wala mguu wako hautakwaa.


Basi, msiwaogope, kwa maana hakuna neno lililositirika, ambalo halitafunuliwa; wala lililofichwa, ambalo halitajulikana.


Basi ninyi msihukumu neno kabla ya wakati wake, hata ajapo Bwana; ambaye atayamulika yaliyositirika katika giza, na kuyadhihirisha mashauri ya mioyo; ndipo kila mtu atakapoipata sifa yake kwa Mungu.


Vivyo hivyo matendo yaliyo mazuri yako dhahiri; wala yale yasiyo dhahiri hayawezi kusitirika.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo