Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Methali 13:2 - Swahili Revised Union Version

Mtu atakula mema kwa matunda ya kinywa chake; Bali nafsi ya mtu haini itakula jeuri.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Mtu mwema hupata mema kutokana na maneno yake, lakini wadanganyifu huishi kwa ukatili.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Mtu mwema hupata mema kutokana na maneno yake, lakini wadanganyifu huishi kwa ukatili.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Mtu mwema hupata mema kutokana na maneno yake, lakini wadanganyifu huishi kwa ukatili.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Kutoka tunda la midomo yake, mtu hufurahia mambo mema, bali wasio waaminifu wanatamani sana jeuri.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Kutoka tunda la midomo yake mtu hufurahia mambo mema, bali wasio waaminifu wanatamani sana jeuri.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Mtu atakula mema kwa matunda ya kinywa chake; Bali nafsi ya mtu haini itakula jeuri.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Methali 13:2
16 Marejeleo ya Msalaba  

Msingiziaji hatawekwa imara katika nchi, Mtu wa jeuri, uovu humwinda kumwangamiza.


Maana mkononi mwa BWANA mna kikombe, Na mvinyo yake inatoka povu; Kumejaa machanganyiko; Naye huyamimina. Na sira zake wasio haki wa dunia Watazifyonza na kuzinywa.


Na hao hujiotea damu yao wenyewe, Hujinyemelea nafsi zao wenyewe.


Kwa hiyo watakula matunda ya njia yao, Watashiba mashauri yao wenyewe.


Kinywa chake mwenye haki ni chemchemi ya uzima; Bali jeuri hufunika kinywa chake mtu mwovu,


Haja ya mwenye haki ni kupata mema tu; Bali kutaraji kwake mtu mwovu huishia katika ghadhabu.


Mtu atashiba mema kwa matunda ya kinywa chake; Na atarudishiwa matendo ya mikono yake.


Tumbo la mtu litajazwa matunda ya kinywa chake; Atashiba mazao ya midomo yake.


Mauti na uzima huwa katika uwezo wa ulimi; Na wao waupendao watakula matunda yake.


Maana wao hula mkate wa uovu, Nao hunywa divai ya ujeuri.


Mmelima dhuluma, mmevuna uovu; mmekula matunda ya uongo; kwa maana uliitumainia njia yako, na wingi wa mashujaa wako.


Kwa maana udhalimu uliotendwa juu ya Lebanoni utakufunikiza, na kuangamizwa kwao wanyama kutakutia hofu; kwa sababu ya damu ya watu, na kwa sababu ya udhalimu iliotendwa nchi hii, na mji huu, na watu wote wanaokaa ndani yake.


Kwa sababu umeteka nyara mataifa mengi, mabaki yote ya kabila watakuteka wewe; kwa sababu ya damu ya watu, na kwa sababu ya udhalimu iliotendwa nchi hii, na mji huu, na watu wote wanaokaa ndani yake.


kwa kuwa walimwaga damu ya watakatifu na ya manabii, nawe umewapa damu wainywe; ndiyo wanayostahili.