Ufunuo 16:6 - Swahili Revised Union Version6 kwa kuwa walimwaga damu ya watakatifu na ya manabii, nawe umewapa damu wainywe; ndiyo wanayostahili. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema6 Maana waliimwaga damu ya watu wa Mungu na manabii, nawe umewapa damu wainywe; wamestahili hivyo!” Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND6 Maana waliimwaga damu ya watu wa Mungu na manabii, nawe umewapa damu wainywe; wamestahili hivyo!” Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza6 Maana waliimwaga damu ya watu wa Mungu na manabii, nawe umewapa damu wainywe; wamestahili hivyo!” Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu6 kwa kuwa walimwaga damu ya watakatifu wako na manabii wako, nawe umewapa damu wanywe kama walivyostahili.” Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu6 kwa kuwa walimwaga damu ya watakatifu wako na manabii wako, nawe umewapa damu wanywe kama walivyostahili.” Tazama suraBIBLIA KISWAHILI6 kwa kuwa walimwaga damu ya watakatifu na ya manabii, nawe umewapa damu wainywe; ndiyo wanayostahili. Tazama sura |