Ufunuo 16:7 - Swahili Revised Union Version7 Nikaisikia hiyo madhabahu ikisema, Naam, Bwana Mungu Mwenyezi, hukumu zako ni za kweli, na haki. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema7 Kisha, nikasikia sauti madhabahuni ikisema, “Naam, Bwana Mungu Mwenye Nguvu! Hukumu zako ni za kweli na haki!” Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND7 Kisha, nikasikia sauti madhabahuni ikisema, “Naam, Bwana Mungu Mwenye Nguvu! Hukumu zako ni za kweli na haki!” Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza7 Kisha, nikasikia sauti madhabahuni ikisema, “Naam, Bwana Mungu Mwenye Nguvu! Hukumu zako ni za kweli na haki!” Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu7 Nikasikia madhabahu ikiitikia, “Naam, Bwana Mungu Mwenyezi, hukumu zako ni kweli na haki.” Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu7 Nikasikia madhabahu ikiitikia, “Naam, bwana Mwenyezi Mungu, hukumu zako ni kweli na haki.” Tazama suraBIBLIA KISWAHILI7 Nikaisikia hiyo madhabahu ikisema, Naam, Bwana Mungu Mwenyezi, hukumu zako ni za kweli, na haki. Tazama sura |