Methali 12:14 - Swahili Revised Union Version14 Mtu atashiba mema kwa matunda ya kinywa chake; Na atarudishiwa matendo ya mikono yake. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema14 Mtu hufanikiwa kutokana na maneno yake kama apatavyo matokeo ya kazi za mikono yake. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND14 Mtu hufanikiwa kutokana na maneno yake kama apatavyo matokeo ya kazi za mikono yake. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza14 Mtu hufanikiwa kutokana na maneno yake kama apatavyo matokeo ya kazi za mikono yake. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu14 Kutokana na tunda la midomo yao, watu hujazwa na mambo mema, na kazi ya mikono yao huwaletea thawabu. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu14 Kutokana na tunda la midomo yake mtu hujazwa na mambo mema, hakika kama ilivyo kazi ya mikono yake humtunza. Tazama suraBIBLIA KISWAHILI14 Mtu atashiba mema kwa matunda ya kinywa chake; Na atarudishiwa matendo ya mikono yake. Tazama sura |