Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Methali 12:14 - Swahili Revised Union Version

14 Mtu atashiba mema kwa matunda ya kinywa chake; Na atarudishiwa matendo ya mikono yake.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

14 Mtu hufanikiwa kutokana na maneno yake kama apatavyo matokeo ya kazi za mikono yake.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

14 Mtu hufanikiwa kutokana na maneno yake kama apatavyo matokeo ya kazi za mikono yake.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

14 Mtu hufanikiwa kutokana na maneno yake kama apatavyo matokeo ya kazi za mikono yake.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

14 Kutokana na tunda la midomo yao, watu hujazwa na mambo mema, na kazi ya mikono yao huwaletea thawabu.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

14 Kutokana na tunda la midomo yake mtu hujazwa na mambo mema, hakika kama ilivyo kazi ya mikono yake humtunza.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

14 Mtu atashiba mema kwa matunda ya kinywa chake; Na atarudishiwa matendo ya mikono yake.

Tazama sura Nakili




Methali 12:14
19 Marejeleo ya Msalaba  

Kwani atamlipa binadamu kwa kazi yake, Naye atamfanya kila mtu kuona kulingana na njia zake.


Nafsi yangu itakinai kama kushiba mafuta na vinono; Kinywa changu kitakusifu kwa midomo ya furaha.


Kwa hiyo watakula matunda ya njia yao, Watashiba mashauri yao wenyewe.


Mtu atakula mema kwa matunda ya kinywa chake; Bali nafsi ya mtu haini itakula jeuri.


Ageukaye moyoni hushiba njia zake mwenyewe; Na mtu mwema ataridhika nafsini mwake.


Mtu hulifurahia jibu la kinywa chake; Na neno linenwalo wakati wa kufaa ni jema kama nini!


Amhurumiaye maskini humkopesha BWANA; Naye atamlipa kwa tendo lake jema.


Ukisema, Sisi hatukujua hayo; Je! Yeye aipimaye mioyo siye afahamuye? Naye ailindaye nafsi yako siye ajuaye? Je! Hatamlipa kila mtu sawasawa na kazi yake?


Maovu yake yeye yatampata mdhalimu, Naye atashikwa kwa kamba za dhambi zake.


Mimi, BWANA, nauchunguza moyo, navijaribu viuno, hata kumpa kila mtu kiasi cha njia zake, kiasi cha matunda ya matendo yake.


Nami nitawaadhibu kwa kadiri ya matendo yenu, asema BWANA; nami nitawasha moto katika msitu wake, nao utateketeza vitu vyote viuzungukavyo.


Hata itakuwa, kama walivyo watu, ndivyo atakavyokuwa kuhani; nami nitawaadhibu kwa ajili ya njia zao, na kuwalipa kwa matendo yao.


Kwa sababu Mwana wa Adamu atakuja katika utukufu wa Baba yake pamoja na malaika zake; ndipo atakapomlipa kila mtu kwa kadiri ya matendo yake.


akihesabu ya kuwa kushutumiwa kwake Kristo ni utajiri mkuu kuliko hazina za Misri; kwa kuwa aliyatazamia hayo malipo.


Kwa maana, ikiwa lile neno lililonenwa na malaika lilikuwa imara, na kila kosa na uasi ulipata ujira wa haki,


Tufuate:

Matangazo


Matangazo