Methali 12:13 - Swahili Revised Union Version13 Katika kosa la midomo kuna mtego kwa mbaya; Bali mwenye haki atatoka katika taabu. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema13 Mtu mwovu hunaswa kwa uongo wake mwenyewe, lakini mwadilifu hutoka katika taabu. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND13 Mtu mwovu hunaswa kwa uongo wake mwenyewe, lakini mwadilifu hutoka katika taabu. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza13 Mtu mwovu hunaswa kwa uongo wake mwenyewe, lakini mwadilifu hutoka katika taabu. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu13 Mtu mwovu hunaswa kwa mazungumzo yake ya dhambi, bali mwenye haki huepuka taabu. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu13 Mtu mwovu hunaswa kwa mazungumzo yake ya dhambi, bali mwenye haki huepuka taabu. Tazama suraBIBLIA KISWAHILI13 Katika kosa la midomo kuna mtego kwa mbaya; Bali mwenye haki atatoka katika taabu. Tazama sura |