Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Methali 12:12 - Swahili Revised Union Version

12 Asiye haki hutamani nyavu za wabaya; Bali shina lao wenye haki huleta matunda.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

12 Waovu hutamani faida isiyo halali, lakini mtu mwadilifu husimama imara.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

12 Waovu hutamani faida isiyo halali, lakini mtu mwadilifu husimama imara.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

12 Waovu hutamani faida isiyo halali, lakini mtu mwadilifu husimama imara.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

12 Waovu hutamani mateka ya wapotovu, bali shina la mwenye haki hustawi.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

12 Waovu hutamani mateka ya watu wabaya, bali shina la mwenye haki hustawi.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

12 Asiye haki hutamani nyavu za wabaya; Bali shina lao wenye haki huleta matunda.

Tazama sura Nakili




Methali 12:12
18 Marejeleo ya Msalaba  

Naye atakuwa kama mti uliopandwa Kandokando ya vijito vya maji, Uzaao matunda yake kwa majira yake, Wala jani lake halinyauki; Na kila alitendalo litafanikiwa.


Huotea faraghani kama simba pangoni, Huotea amkamate mtu mnyonge. Naam, humkamata mtu mnyonge, Na kumkokota akiwa wavuni mwake.


Mataifa wamezama katika shimo walilolichimba; Kwa wavu waliouficha imenaswa miguu yao.


Mali ya tajiri ndio ngome yake; Ufukara wa maskini ndio umwangamizao.


Mazao ya mwenye haki ni mti wa uzima; Na mwenye hekima huvuta roho za watu.


Nafsi ya mtu mbaya hutamani uovu; Jirani yake hapati fadhili machoni pake.


Siku zijazo Yakobo atatia mizizi; Israeli atatoa maua na kuchipuka; Nao watajaza uso wa ulimwengu matunda.


Na mabaki yaliyookoka, yaliyobakia ya nyumba ya Yuda, yatatia mizizi chini, na kuzaa matunda juu.


Mtu amchaye Mungu ametoweka, asionekane katika nchi, wala hapana mtu mwenye adili katika wanadamu; wote huotea ili kumwaga damu; kila mtu humwinda ndugu yake kwa wavu.


Si ninyi mlionichagua mimi, bali ni mimi niliyewachagua ninyi; nami nikawaweka mwende mkazae matunda; na matunda yenu yapate kukaa; ili kwamba lolote mmwombalo Baba kwa jina langu awapeni.


Mimi ni mzabibu; ninyi ni matawi, akaaye ndani yangu nami ndani yake, huyo huzaa sana; maana pasipo mimi ninyi hamuwezi kufanya neno lolote.


Lakini sasa mkiisha kuwekwa huru, na kuwa mbali na dhambi, na kufanywa watumwa wa Mungu, mnayo faida yenu, ndiyo kutakaswa, na mwisho wake ni uzima wa milele.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo