Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Methali 12:11 - Swahili Revised Union Version

11 Alimaye shamba lake atakuwa na chakula tele; Bali afuataye mambo ya upuzi hana ufahamu.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

11 Mkulima mwenye bidii ana chakula tele, lakini afuataye mambo yasiyofaa hana akili.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

11 Mkulima mwenye bidii ana chakula tele, lakini afuataye mambo yasiyofaa hana akili.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

11 Mkulima mwenye bidii ana chakula tele, lakini afuataye mambo yasiyofaa hana akili.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

11 Yeye alimaye shamba lake atakuwa na chakula tele, bali yeye afuataye mambo ya upuzi hana akili.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

11 Yeye alimaye shamba lake atakuwa na chakula tele, bali yeye afuataye mambo ya upuzi hana akili.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

11 Alimaye shamba lake atakuwa na chakula tele; Bali afuataye mambo ya upuzi hana ufahamu.

Tazama sura Nakili




Methali 12:11
23 Marejeleo ya Msalaba  

kwa jasho la uso wako utakula chakula, hata utakapoirudia ardhi, ambayo katika hiyo ulitwaliwa; kwa maana u mavumbi wewe, nawe mavumbini utarudi.


Taabu ya mikono yako hakika utaila; Utakuwa heri, na kwako kwema.


Sikai pamoja na watu waovu, Wala sitaingia kuwa pamoja na wanafiki.


Nenda pamoja na wenye hekima, nawe utakuwa na hekima; Bali rafiki wa wapumbavu ataumia.


Chakula kingi chapatikana kwa ukulima wa maskini; Bali viko viharibiwavyo kwa sababu ya dhuluma.


Katika kila kazi mna faida; Bali maneno ya midomo huleta hasara tu.


Zizi ni safi ambapo hapana ng'ombe; Bali nguvu za ng'ombe zaleta faida nyingi.


Usipende usingizi usije ukawa maskini; Fumbua macho yako nawe utashiba chakula.


Tena yatakuwapo maziwa ya mbuzi, Ya kukutosha kwa chakula chako, Na chakula cha watu wa nyumbani mwako, Na posho la vijakazi vyako.


Alimaye shamba lake atakuwa na chakula tele; Bali afuataye mambo ya upuzi atapata umaskini wa kumtosha.


Mtu aziniye na mwanamke hana akili kabisa; Afanya jambo litakalomwangamiza nafsi yake.


Nikaona katikati ya wajinga, Nikamtambua miongoni mwa vijana, Kijana mmoja asiyekuwa na akili,


Mwanamke mpumbavu hupiga kelele, Ni mjinga, hajui kitu.


Kila aliye mjinga na aingie humu. Tena amwambia mtu aliyepungukiwa na akili,


Enyi wajinga, acheni ujinga, mkaishi, Mkaende katika njia ya ufahamu.


Watu waangaliao mambo ya ubatili na uongo Hujitenga na rehema zao wenyewe.


Mwizi asiibe tena; bali afadhali afanye juhudi, akifanya kazi iliyo nzuri kwa mikono yake mwenyewe, apate kuwa na kitu cha kumgawia mhitaji.


wala hatukula chakula kwa mtu yeyote bure; bali kwa taabu na masumbufu, usiku na mchana tulifanya kazi, ili tusimlemee mtu wa kwenu awaye yote.


Wakampa vipande vya fedha sabini vilivyotoka katika nyumba ya Baal-berithi, na kwa fedha hizo Abimeleki akaajiri watu wapuuzi mabaradhuli, wafuatane naye.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo