Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Methali 12:10 - Swahili Revised Union Version

10 Mwenye haki huufikiri uhai wa mnyama wake; Bali huruma za mtu mwovu ni ukatili.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

10 Mtu mwadilifu huwajali wanyama wake, lakini huruma ya mwovu ni ukatili.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

10 Mtu mwadilifu huwajali wanyama wake, lakini huruma ya mwovu ni ukatili.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

10 Mtu mwadilifu huwajali wanyama wake, lakini huruma ya mwovu ni ukatili.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

10 Mtu mwenye haki hujali mahitaji ya mnyama wake, bali matendo ya huruma ya mwovu ni ukatili.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

10 Mtu mwenye haki hujali mahitaji ya mnyama wake, bali matendo ya huruma ya mwovu ni ukatili.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

10 Mwenye haki huufikiri uhai wa mnyama wake; Bali huruma za mtu mwovu ni ukatili.

Tazama sura Nakili




Methali 12:10
13 Marejeleo ya Msalaba  

Afadhali mtu anayedharauliwa, ikiwa ana mtumwa, Kuliko ajisifuye, ikiwa anahitaji chakula.


hata nije nikawachukue mpaka nchi iliyo kama nchi yenu wenyewe, nchi ya nafaka na divai, nchi ya mkate na mashamba ya mizabibu.


Yule mwanamke akamwambia, Bwana, huna kitu cha kutekea, na kisima ni kirefu; basi umeyapata wapi hayo maji yaliyo hai?


Kwa maana katika Torati ya Musa imeandikwa, Usimfunge kinywa ng'ombe apurapo nafaka. Je! Hapo Mungu aangalia mambo ya ng'ombe?


Ng'ombe apurapo nafaka usimfunge kinywa.


Lakini mtu akiwa na riziki ya dunia, kisha akamwona ndugu yake ni mhitaji, akamzuilia huruma zake, je! Upendo wa Mungu wakaaje ndani yake huyo?


Adoni-bezeki akasema, Wafalme sabini, waliokuwa wamekatwa vidole vyao vya gumba vya mikono na vya miguu, waliokota chakula chao chini ya meza yangu; kama nilivyofanya mimi, Mungu amenilipa vivyo hivyo. Wakamleta Yerusalemu naye akafa kuko.


Huyo Nahashi, Mwamoni, akawaambia, Kwa sharti hili mimi nitapatana nanyi, kila mtu ang'olewe jicho la kulia; na kwa jambo hilo nitawashutumu Waisraeli wote pia.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo