Methali 12:10 - Swahili Revised Union Version10 Mwenye haki huufikiri uhai wa mnyama wake; Bali huruma za mtu mwovu ni ukatili. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema10 Mtu mwadilifu huwajali wanyama wake, lakini huruma ya mwovu ni ukatili. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND10 Mtu mwadilifu huwajali wanyama wake, lakini huruma ya mwovu ni ukatili. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza10 Mtu mwadilifu huwajali wanyama wake, lakini huruma ya mwovu ni ukatili. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu10 Mtu mwenye haki hujali mahitaji ya mnyama wake, bali matendo ya huruma ya mwovu ni ukatili. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu10 Mtu mwenye haki hujali mahitaji ya mnyama wake, bali matendo ya huruma ya mwovu ni ukatili. Tazama suraBIBLIA KISWAHILI10 Mwenye haki huufikiri uhai wa mnyama wake; Bali huruma za mtu mwovu ni ukatili. Tazama sura |