Methali 12:15 - Swahili Revised Union Version15 Njia ya mpumbavu imenyoka machoni pake mwenyewe; Bali yeye aliye na hekima husikiliza shauri. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema15 Mpumbavu huiona njia yake kuwa sawa, lakini mwenye hekima husikiliza shauri. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND15 Mpumbavu huiona njia yake kuwa sawa, lakini mwenye hekima husikiliza shauri. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza15 Mpumbavu huiona njia yake kuwa sawa, lakini mwenye hekima husikiliza shauri. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu15 Njia ya mpumbavu huonekana sawa machoni pake mwenyewe, bali mtu mwenye hekima husikiliza ushauri. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu15 Njia ya mpumbavu huonekana sawa machoni pake mwenyewe, bali mtu mwenye hekima husikiliza ushauri. Tazama suraBIBLIA KISWAHILI15 Njia ya mpumbavu imenyoka machoni pake mwenyewe; Bali yeye aliye na hekima husikiliza shauri. Tazama sura |