Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Methali 12:15 - Swahili Revised Union Version

15 Njia ya mpumbavu imenyoka machoni pake mwenyewe; Bali yeye aliye na hekima husikiliza shauri.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

15 Mpumbavu huiona njia yake kuwa sawa, lakini mwenye hekima husikiliza shauri.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

15 Mpumbavu huiona njia yake kuwa sawa, lakini mwenye hekima husikiliza shauri.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

15 Mpumbavu huiona njia yake kuwa sawa, lakini mwenye hekima husikiliza shauri.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

15 Njia ya mpumbavu huonekana sawa machoni pake mwenyewe, bali mtu mwenye hekima husikiliza ushauri.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

15 Njia ya mpumbavu huonekana sawa machoni pake mwenyewe, bali mtu mwenye hekima husikiliza ushauri.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

15 Njia ya mpumbavu imenyoka machoni pake mwenyewe; Bali yeye aliye na hekima husikiliza shauri.

Tazama sura Nakili




Methali 12:15
19 Marejeleo ya Msalaba  

mwenye hekima asikie na kuongezewa elimu, na mwenye ufahamu ayafikie mashauri yenye njia.


Mwana mwenye hekima husikiliza mausia ya babaye; Bali mwenye dharau hasikilizi maonyo.


Kiburi huleta mashindano tu; Bali hekima hukaa nao wanaoshauriana.


Iko njia ionekanayo kuwa sawa machoni pa mtu, Lakini mwisho wake ni njia za mauti.


Mwenye hekima huhadhari, na kujitenga na uovu; Bali mpumbavu hupuuza yote, na hajali.


Njia zote za mtu ni safi machoni pake mwenyewe; Bali BWANA huzipima roho za watu.


Iko njia ionekanayo kuwa sawa machoni pa mtu; Lakini mwisho wake ni njia za mauti.


Sikiliza mashauri, ukapokee mafundisho, Upate kuwa na hekima siku zako za mwisho.


Kila njia ya mtu ni sawa machoni pake mwenyewe; Bali BWANA huipima mioyo.


Je! Wamwona mtu mwenye hekima machoni pake mwenyewe? Afadhali kumtumaini mpumbavu kuliko yeye.


Mtu mvivu ni mwenye hekima machoni pake, Kuliko watu saba wawezao kutoa sababu.


Mtu tajiri ana hekima machoni pake mwenyewe; Bali maskini mwenye ufahamu humchunguza sana.


Usiwe na hekima machoni pako; Mche BWANA, ukajiepushe na uovu.


Kuna kizazi cha watu walio safi machoni pao wenyewe; Ambao hawakuoshwa uchafu wao.


Mwelimishe mwenye hekima, naye atazidi kuwa na hekima; Mfundishe mwenye haki, naye atazidi kuwa na elimu;


Heri kijana maskini mwenye hekima Kuliko mfalme mzee mpumbavu ambaye hajui tena kupokea maonyo.


Yule Farisayo akasimama akiomba hivi moyoni mwake; Ee Mungu, nakushukuru kwa kuwa mimi si kama watu wengine, wanyang'anyi, wadhalimu, wazinzi, wala kama huyu mtoza ushuru.


Maana mtu akijiona kuwa ni kitu, naye si kitu, ajidanganya nafsi yake.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo