Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Methali 1:31 - Swahili Revised Union Version

31 Kwa hiyo watakula matunda ya njia yao, Watashiba mashauri yao wenyewe.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

31 basi, mtakula matunda ya mienendo yenu, mtavimbiwa kwa hila zenu wenyewe.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

31 basi, mtakula matunda ya mienendo yenu, mtavimbiwa kwa hila zenu wenyewe.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

31 basi, mtakula matunda ya mienendo yenu, mtavimbiwa kwa hila zenu wenyewe.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

31 watakula matunda ya njia zao, na watashibishwa matunda ya hila zao.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

31 watakula matunda ya njia zao, na watashibishwa matunda ya hila zao.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

31 Kwa hiyo watakula matunda ya njia yao, Watashiba mashauri yao wenyewe.

Tazama sura Nakili




Methali 1:31
17 Marejeleo ya Msalaba  

Kama mimi nilivyoona, hao walimao maovu, Na kupanda madhara, huvuna yayo hayo.


Laiti watu wangu wangenisikiliza, Na Israeli angeenenda katika njia zangu;


Mtu atashiba mema kwa matunda ya kinywa chake; Na atarudishiwa matendo ya mikono yake.


Mtu atakula mema kwa matunda ya kinywa chake; Bali nafsi ya mtu haini itakula jeuri.


Ageukaye moyoni hushiba njia zake mwenyewe; Na mtu mwema ataridhika nafsini mwake.


Yeye apandaye uovu atavuna msiba, Na fimbo ya ghadhabu yake itakoma.


Maovu yake yeye yatampata mdhalimu, Naye atashikwa kwa kamba za dhambi zake.


Atakufa huyo kwa kukosa maonyo, Naye atapotea kwa wingi wa ujinga wake.


Bali anikosaye hujidhuru nafsi yake mwenyewe, Na wao wanichukiao hupenda mauti.


Mimi nami nitachagua mapigo yao, nitaleta hofu zao juu yao; kwa sababu nilipoita, hawakuitika; na niliponena, hawakusikia; bali walifanya yaliyo maovu machoni pangu, na kuyachagua nisiyoyafurahia.


Na watu hao, waliopewa unabii na wao, watatupwa nje katika njia kuu za Yerusalemu kwa sababu ya upanga na njaa; wala hawatakuwa na mtu wa kuwazika, wao na wake zao, na wana wao, na binti zao; maana nitamwaga uovu wao wenyewe juu yao.


Uovu wako mwenyewe utakurudi, maasi yako yatakukaripia; ujue, basi, ukaone, ya kuwa ni jambo baya sana na uchungu, kuwa umemwacha BWANA, Mungu wako, na ya kuwa moyoni mwako hamna kunihofu, asema Bwana, BWANA wa majeshi.


Nami nitawaadhibu kwa kadiri ya matendo yenu, asema BWANA; nami nitawasha moto katika msitu wake, nao utateketeza vitu vyote viuzungukavyo.


Sikia, Ee nchi; tazama, nitaleta mabaya juu ya watu hawa, naam, matunda ya mawazo yao, kwa sababu hawakuyasikiliza maneno yangu; tena kwa habari ya sheria yangu, wameikataa.


Kwa sababu hiyo nimemwaga ghadhabu yangu juu yao; nimewateketeza kwa moto wa hasira yangu; nami nimeileta njia yao wenyewe juu ya vichwa vyao, asema Bwana MUNGU.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo