Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Methali 18:21 - Swahili Revised Union Version

21 Mauti na uzima huwa katika uwezo wa ulimi; Na wao waupendao watakula matunda yake.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

21 Ulimi una nguvu ya kufanya hai na kuua; wanaopenda kuutumia watakula matunda yake.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

21 Ulimi una nguvu ya kufanya hai na kuua; wanaopenda kuutumia watakula matunda yake.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

21 Ulimi una nguvu ya kufanya hai na kuua; wanaopenda kuutumia watakula matunda yake.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

21 Mauti na uzima viko katika uwezo wa ulimi, nao wanaoupenda watakula matunda yake.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

21 Mauti na uzima viko katika uwezo wa ulimi, nao waupendao watakula matunda yake.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

21 Mauti na uzima huwa katika uwezo wa ulimi; Na wao waupendao watakula matunda yake.

Tazama sura Nakili




Methali 18:21
21 Marejeleo ya Msalaba  

Kwa ajili ya kuonewa kwao wanyonge, Kwa ajili ya kuugua kwao wahitaji, Sasa nitasimama, asema BWANA, Nitamweka salama yeye wanayemfyonya.


Kinywa cha mwenye haki hutoa hekima; Bali ulimi wa ukaidi utakatiliwa mbali.


Mazao ya mwenye haki ni mti wa uzima; Na mwenye hekima huvuta roho za watu.


Katika kosa la midomo kuna mtego kwa mbaya; Bali mwenye haki atatoka katika taabu.


Mtu azuiaye kinywa chake na ulimi wake, Atajilinda nafsi yake na taabu.


Waambieni wenye haki ya kuwa watakuwa heri, kwa maana watakula matunda ya matendo yao


Mimi nayaumba matunda ya midomo; Amani, amani, kwake yeye aliye mbali, na kwake yeye aliye karibu; asema BWANA; nami nitamponya.


Mmelima dhuluma, mmevuna uovu; mmekula matunda ya uongo; kwa maana uliitumainia njia yako, na wingi wa mashujaa wako.


Basi si neno kubwa watumishi wake nao wakijigeuza wawe mfano wa watumishi wa haki, ambao mwisho wao utakuwa sawasawa na kazi zao.


katika hao wa pili harufu ya mauti iletayo mauti; katika hao wa kwanza harufu ya uzima iletayo uzima. Naye ni nani atoshaye kwa mambo hayo?


Neno lolote lililo ovu lisitoke vinywani mwenu, bali lililo jema la kumfaa mwenye kuhitaji, ili liwape neema wanaosikia.


Maneno yenu yawe na neema siku zote, yakikolezwa chumvi, ili mpate kujua jinsi iwapasavyo kumjibu kila mtu.


Maana wakinena maneno makuu mno ya kiburi, kwa tamaa za mwili na kwa ufisadi huwahadaa watu walioanza kuwakimbia wale wanaoenenda katika udanganyifu;


Tufuate:

Matangazo


Matangazo