Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Methali 18:22 - Swahili Revised Union Version

22 Apataye mke apata kitu chema; Naye ajipatia kibali kwa BWANA.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

22 Anayempata mke amepata bahati njema; hiyo ni fadhili kutoka kwa Mwenyezi-Mungu.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

22 Anayempata mke amepata bahati njema; hiyo ni fadhili kutoka kwa Mwenyezi-Mungu.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

22 Anayempata mke amepata bahati njema; hiyo ni fadhili kutoka kwa Mwenyezi-Mungu.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

22 Mtu anayepata mke anapata kitu chema, naye anajipatia kibali kwa Mwenyezi Mungu.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

22 Apataye mke apata kitu chema naye ajipatia kibali kwa bwana.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

22 Apataye mke apata kitu chema; Naye ajipatia kibali kwa BWANA.

Tazama sura Nakili




Methali 18:22
14 Marejeleo ya Msalaba  

BWANA Mungu akasema, Si vema huyo mtu awe peke yake, nitamfanyia msaidizi wa kufanana naye.


Isaka akamwingiza Rebeka katika hema ya mama yake, Sara, akamtwaa Rebeka, akawa mkewe, akampenda; Isaka akafarijika kwa ajili ya kufa kwa mama yake.


Yakobo akafanya hivi, akatimiza siku zake saba. Naye Labani akampa Raheli, binti yake, kuwa mkewe.


Mwanamke mwema ni taji la mumewe; Bali aaibishaye ni kama kuoza mifupani mwake.


Nyumba na mali ni urithi apatao mtu kwa babaye; Bali mke mwenye busara, mtu hupewa na BWANA.


Ndivyo utakavyopata kibali na akili nzuri, Mbele za Mungu na mbele ya mwanadamu.


Maana yeye anionaye mimi aona uzima, Naye atapata kibali kwa BWANA.


Uishi kwa furaha pamoja na mke umpendaye, siku zote za maisha yako ya ubatili, ulizopewa chini ya jua; siku zote za ubatili wako, kwa maana hiyo ni sehemu yako ya maisha; na katika kazi zako unazozifanya chini ya jua.


Na Yakobo alikimbia mpaka Padan-Aramu, Na Israeli alitumika apate mke; Ili apate mke alichunga kondoo.


Lakini kwa sababu ya zinaa kila mwanamume na awe na mke wake mwenyewe, na kila mwanamke na awe na mume wake mwenyewe.


Tena, huyu Ruthu Mmoabi, mkewe Maloni, nimemnunua awe mke wangu, makusudi nipate kumwinulia marehemu jina katika urithi wake, jina lake marehemu lisikatike miongoni mwa ndugu zake, wala langoni pa mji wake; leo hivi ninyi ni mashahidi.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo