Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Methali 18:23 - Swahili Revised Union Version

23 Maskini hutumia maombi; Bali tajiri hujibu kwa ukali.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

23 Maskini huomba kwa unyenyekevu, bali tajiri hujibu kwa ukali.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

23 Maskini huomba kwa unyenyekevu, bali tajiri hujibu kwa ukali.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

23 Maskini huomba kwa unyenyekevu, bali tajiri hujibu kwa ukali.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

23 Mtu maskini huomba kuhurumiwa bali tajiri hujibu kwa ukali.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

23 Mtu maskini huomba kuhurumiwa bali tajiri hujibu kwa ukali.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

23 Maskini hutumia maombi; Bali tajiri hujibu kwa ukali.

Tazama sura Nakili




Methali 18:23
18 Marejeleo ya Msalaba  

Mtu yule aliye bwana wa nchi alisema nasi kwa maneno makali, akatufanya tu wapelelezi wa nchi.


Yusufu akawaona nduguze, akawatambua, lakini alijifanya kama mgeni kwao. Akasema nao kwa maneno makali, akawaambia, Mmetoka wapi ninyi? Wakasema. Tumetoka nchi ya Kanaani, ili tununue chakula.


Mfalme akawajibu watu wale kwa ukali, akaliacha shauri lile wazee walilompa;


Mfalme akawajibu kwa ukali; mfalme Rehoboamu akaliacha shauri la wazee, akasema nao kwa shauri la vijana,


Je! Atakusihi sana? Au, atakuambia maneno ya upole?


Farao akasema, BWANA ni nani, hata niisikilize sauti yake, na kuwapa Israeli ruhusa waende zao? Mimi simjui BWANA, wala sitawapa Israeli ruhusa waende zao.


Ndugu zote wa maskini humchukia; Jinsi gani rafiki zake huzidi kujitenga naye! Huwafuata kwa maneno, lakini wametoweka.


Tajiri humtawala maskini, Naye akopaye ni mtumwa wake akopeshaye.


Maana mkono wangu ndio uliofanya hivi vyote, vitu hivi vyote vikapata kutokea, asema BWANA; lakini mtu huyu ndiye nitakayemwangalia, mtu aliye mnyonge, mwenye roho iliyopondeka, atetemekaye asikiapo neno langu.


Heri walio maskini wa roho; Maana ufalme wa mbinguni ni wao.


nanyi mkimstahi yule aliyevaa mavazi mazuri, na kumwambia, Wewe keti hapa mahali pazuri; na kumwambia yule maskini, Wewe simama pale, au keti miguuni pangu,


Bali ninyi mmemvunjia heshima maskini. Je! Matajiri hawawaonei ninyi na kuwavuta mbele ya viti vya hukumu?


naye akasema, Tafadhali niruhusu kuokota mabaki, na kukusanya nyuma ya wavunaji kati ya miganda; basi akaja, naye ameshinda tangu asubuhi hadi sasa, isipokuwa alikaa nyumbani kitambo kidogo.


Kisha itakuwa, ya kwamba kila mtu atakayesalia katika nyumba yako atakwenda kumsujudia, apate kipande kidogo cha fedha, na mkate mmoja; na kumwambia, Tafadhali nitie katika kazi mojawapo ya ukuhani, nipate kula kipande kidogo cha mkate.


Naye Nabali akawajibu wale watumishi wa Daudi, akasema, Huyu Daudi ni nani? Na mwana wa Yese ni nani? Siku hizi kuna watumishi wengi wanaomtoroka kila mtu bwana wake!


Basi sasa ujue na kufikiri utakayotenda; kwa sababu yamekusudiwa mabaya juu ya bwana wetu, na juu ya nyumba yake yote; kwa kuwa yeye ni mtu asiyefaa kabisa, hata mtu hawezi kusema naye.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo