Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Methali 18:20 - Swahili Revised Union Version

20 Tumbo la mtu litajazwa matunda ya kinywa chake; Atashiba mazao ya midomo yake.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

20 Maneno ya mtu yaweza kumshibisha; hutosheka kwa matokeo ya maneno yake.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

20 Maneno ya mtu yaweza kumshibisha; hutosheka kwa matokeo ya maneno yake.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

20 Maneno ya mtu yaweza kumshibisha; hutosheka kwa matokeo ya maneno yake.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

20 Tumbo la mtu litajaa kutokana na tunda la kinywa chake, atashibishwa mavuno yanayotokana na midomo yake.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

20 Tumbo la mtu litajaa kutokana na tunda la kinywa chake, atashibishwa mavuno yanayotokana na midomo yake.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

20 Tumbo la mtu litajazwa matunda ya kinywa chake; Atashiba mazao ya midomo yake.

Tazama sura Nakili




Methali 18:20
7 Marejeleo ya Msalaba  

Mtu atakula mema kwa matunda ya kinywa chake; Bali nafsi ya mtu haini itakula jeuri.


Ageukaye moyoni hushiba njia zake mwenyewe; Na mtu mwema ataridhika nafsini mwake.


Ndugu aliyechukizwa ni mgumu kuliko mji wa nguvu; Na mashindano ni kama mapingo ya ngome.


maana ni vizuri kuyahifadhi ndani yako, hali yakithibitika pamoja midomoni mwako.


ili kukujulisha hakika ya maneno ya kweli, uwarudishie wakutumao maneno ya kweli?


Tufuate:

Matangazo


Matangazo