Methali 4:17 - Swahili Revised Union Version17 Maana wao hula mkate wa uovu, Nao hunywa divai ya ujeuri. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema17 Maana uovu ndicho chakula chao, ukatili ndiyo divai yao. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND17 Maana uovu ndicho chakula chao, ukatili ndiyo divai yao. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza17 Maana uovu ndicho chakula chao, ukatili ndiyo divai yao. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu17 Wanakula mkate wa uovu, na kunywa mvinyo wa jeuri. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu17 Wanakula mkate wa uovu, na kunywa mvinyo wa jeuri. Tazama suraBIBLIA KISWAHILI17 Maana wao hula mkate wa uovu, Nao hunywa divai ya ujeuri. Tazama sura |