Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Methali 4:17 - Swahili Revised Union Version

17 Maana wao hula mkate wa uovu, Nao hunywa divai ya ujeuri.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

17 Maana uovu ndicho chakula chao, ukatili ndiyo divai yao.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

17 Maana uovu ndicho chakula chao, ukatili ndiyo divai yao.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

17 Maana uovu ndicho chakula chao, ukatili ndiyo divai yao.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

17 Wanakula mkate wa uovu, na kunywa mvinyo wa jeuri.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

17 Wanakula mkate wa uovu, na kunywa mvinyo wa jeuri.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

17 Maana wao hula mkate wa uovu, Nao hunywa divai ya ujeuri.

Tazama sura Nakili




Methali 4:17
17 Marejeleo ya Msalaba  

Je! Wote wafanyao maovu hawajui? Walao watu wangu kama walavyo mkate, Hawamwiti BWANA.


Mtu atakula mema kwa matunda ya kinywa chake; Bali nafsi ya mtu haini itakula jeuri.


Chakula cha uongo ni kitamu kwa mtu; Lakini halafu kinywa chake kitajaa changarawe.


Maji yaliyoibiwa ni matamu, Na mkate ulioliwa kwa siri hupendeza.


Ole wao wavutao uovu kwa kamba za ubatili, na dhambi kama kwa kamba za gari!


Ole wao wasemao kwamba uovu ni wema, na kwamba wema ni uovu; watiao giza badala ya nuru, na nuru badala ya giza; watiao uchungu badala ya utamu, na utamu badala ya uchungu!


Jihadharini, kila mtu na jirani yake, wala msimtumaini ndugu awaye yote; maana kila ndugu atachongea, na kila jirani atakwenda huku na huko na kusingizia.


BWANA asema hivi kuhusu manabii wanaowakosesha watu wangu; hao waumao kwa meno yao, na kulia, Amani; na mtu awaye yote asiyetia kitu vinywani mwao, wao humwandalia vita.


Kwa maana matajiri wake wamejaa jeuri, na wenyeji wake wamesema uongo, na ulimi wao una udanganyifu kichwani mwao.


Mikono yao ni hodari kwa kutenda maovu; afisa na hakimu wanataka rushwa, mtu mkubwa hunena madhara yaliyomo rohoni mwake; hivyo ndivyo wayafumavyo hayo pamoja.


Wakuu wake walio ndani yake ni simba wangurumao; mahakimu wake ni mbwamwitu wa jioni; wasiobakiza kitu chochote mpaka asubuhi.


Ole wenu Waandishi na Mafarisayo, wanafiki! Kwa kuwa mnawafungia watu ufalme wa mbinguni; ninyi wenyewe hamwingii, wala wanaoingia hamwaachi waingie.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo