Methali 11:23 - Swahili Revised Union Version23 Haja ya mwenye haki ni kupata mema tu; Bali kutaraji kwake mtu mwovu huishia katika ghadhabu. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema23 Matazamio ya waadilifu yana matokeo mema; tamaa za waovu huishia katika ghadhabu. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND23 Matazamio ya waadilifu yana matokeo mema; tamaa za waovu huishia katika ghadhabu. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza23 Matazamio ya waadilifu yana matokeo mema; tamaa za waovu huishia katika ghadhabu. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu23 Shauku ya mwenye haki huishia tu kwenye mema, bali tumaini la mwovu huishia tu kwenye ghadhabu. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu23 Shauku ya mwenye haki huishia tu kwenye mema, bali tumaini la mwovu huishia tu kwenye ghadhabu. Tazama suraBIBLIA KISWAHILI23 Haja ya mwenye haki ni kupata mema tu; Bali kutaraji kwake mtu mwovu huishia katika ghadhabu. Tazama sura |