Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Methali 11:23 - Swahili Revised Union Version

23 Haja ya mwenye haki ni kupata mema tu; Bali kutaraji kwake mtu mwovu huishia katika ghadhabu.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

23 Matazamio ya waadilifu yana matokeo mema; tamaa za waovu huishia katika ghadhabu.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

23 Matazamio ya waadilifu yana matokeo mema; tamaa za waovu huishia katika ghadhabu.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

23 Matazamio ya waadilifu yana matokeo mema; tamaa za waovu huishia katika ghadhabu.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

23 Shauku ya mwenye haki huishia tu kwenye mema, bali tumaini la mwovu huishia tu kwenye ghadhabu.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

23 Shauku ya mwenye haki huishia tu kwenye mema, bali tumaini la mwovu huishia tu kwenye ghadhabu.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

23 Haja ya mwenye haki ni kupata mema tu; Bali kutaraji kwake mtu mwovu huishia katika ghadhabu.

Tazama sura Nakili




Methali 11:23
16 Marejeleo ya Msalaba  

BWANA, utayasikia matakwa ya wanyonge, Uutaidhibiti mioyo yao, utalitega sikio lako.


Kwa moyo wangu wote nimekutafuta, Usiniache nipotee mbali na maagizo yako.


Ningependa njia zangu ziwe thabiti, Nizitii amri zako.


Neno moja nimelitaka kwa BWANA, Nalo ndilo nitakalolitafuta, Nikae nyumbani mwa BWANA Siku zote za maisha yangu, Niutazame uzuri wa BWANA, Na kutafakari hekaluni mwake.


Nawe ujifurahishe katika BWANA, Naye atakutimizia haja za moyo wako.


Matumaini yao wenye haki yatakuwa furaha; Bali matarajio yao wasio haki yatapotea.


Kuna atawanyaye, lakini huongezewa zaidi; Kuna azuiaye isivyo haki, lakini huelekea uhitaji.


Mtu mwovu atakapokufa, taraja lake linapotea; Na matumaini ya uovu huangamia.


Mawazo ya mwenye haki ni adili; Bali mashauri ya mtu mwovu ni hadaa.


Mtu atakula mema kwa matunda ya kinywa chake; Bali nafsi ya mtu haini itakula jeuri.


Kwa nafsi yangu nimekutamani wakati wa usiku; Naam, kwa nafsi yangu ndani yangu nitakutafuta mapema; Maana hukumu zako zikiwapo duniani, Watu wakaao duniani hujifunza haki.


Mimi hapa sikufanya haraka kuacha kuwa mchungaji nyuma yako; wala sikuitamani siku ya maradhi ya kuua; wewe unajua; yaliyotoka midomoni mwangu yalikuwa mbele za uso wako.


Heri wenye njaa na kiu ya haki; Maana hao watashibishwa.


bali kuna kuitazamia hukumu yenye kutisha, na ukali wa moto ulio tayari kuwala wao wapingao.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo