Methali 13:2 - Swahili Revised Union Version2 Mtu atakula mema kwa matunda ya kinywa chake; Bali nafsi ya mtu haini itakula jeuri. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema2 Mtu mwema hupata mema kutokana na maneno yake, lakini wadanganyifu huishi kwa ukatili. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND2 Mtu mwema hupata mema kutokana na maneno yake, lakini wadanganyifu huishi kwa ukatili. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza2 Mtu mwema hupata mema kutokana na maneno yake, lakini wadanganyifu huishi kwa ukatili. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu2 Kutoka tunda la midomo yake, mtu hufurahia mambo mema, bali wasio waaminifu wanatamani sana jeuri. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu2 Kutoka tunda la midomo yake mtu hufurahia mambo mema, bali wasio waaminifu wanatamani sana jeuri. Tazama suraBIBLIA KISWAHILI2 Mtu atakula mema kwa matunda ya kinywa chake; Bali nafsi ya mtu haini itakula jeuri. Tazama sura |