Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Methali 6:11 - Swahili Revised Union Version

Hivyo umaskini wako huja kama mnyang'anyi, Na uhitaji wako kama mtu mwenye silaha.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Wakati huo umaskini utakuvamia kama mnyanganyi, ufukara utakufuata kama jambazi.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Wakati huo umaskini utakuvamia kama mnyanganyi, ufukara utakufuata kama jambazi.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Wakati huo umaskini utakuvamia kama mnyang'anyi, ufukara utakufuata kama jambazi.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

umaskini utakuja juu yako kama mnyang’anyi, na kupungukiwa kutakujia kama mtu mwenye silaha.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

hivyo umaskini utakuja juu yako kama mnyang’anyi, na kupungukiwa kutakujia kama mtu mwenye silaha.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Hivyo umaskini wako huja kama mnyang'anyi, Na uhitaji wako kama mtu mwenye silaha.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Methali 6:11
9 Marejeleo ya Msalaba  

Atendaye mambo kwa mkono mlegevu huwa maskini; Bali mkono wake aliye na bidii hutajirisha.


Nafsi ya mtu mvivu hutamani asipate kitu; Bali nafsi ya mwenye bidii itanenepeshwa.


Uvivu humtia mtu katika usingizi mzito; Na nafsi yake mvivu itaona njaa.


Usipende usingizi usije ukawa maskini; Fumbua macho yako nawe utashiba chakula.


Mtu mvivu hataki kulima wakati wa baridi; Hivyo wakati wa mavuno ataomba, hana kitu.


Kwa maana mlevi na mlafi huingia umaskini, Na utepetevu humvika mtu nguo mbovu.


Bado kulala kidogo, kusinzia kidogo, Bado kukunja mikono upate usingizi!


Hivyo, umaskini wako huja kama mnyang'anyi, Na uhitaji wako kama mtu mwenye silaha.


Mpumbavu huikunja mikono yake, Naye hula chakula chake mwenyewe;