Methali 23:21 - Swahili Revised Union Version21 Kwa maana mlevi na mlafi huingia umaskini, Na utepetevu humvika mtu nguo mbovu. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema21 maana walevi na walafi wataishia kuwa maskini, anayetumia siku yake kusinzia atavaa matambara. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND21 maana walevi na walafi wataishia kuwa maskini, anayetumia siku yake kusinzia atavaa matambara. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza21 maana walevi na walafi wataishia kuwa maskini, anayetumia siku yake kusinzia atavaa matambara. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu21 kwa maana walevi na walafi huwa maskini, nako kusinzia huwavika matambara. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu21 kwa maana walevi na walafi huwa maskini, nako kusinzia huwavika matambara. Tazama suraBIBLIA KISWAHILI21 Kwa maana mlevi na mlafi huingia umaskini, Na utepetevu humvika mtu nguo mbovu. Tazama sura |