Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Methali 23:20 - Swahili Revised Union Version

20 Usiwe miongoni mwao wanywao mvinyo; Miongoni mwao walao nyama kwa pupa.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

20 Usiwe mmoja wa walevi wa divai, wala walafi wenye kupenda nyama,

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

20 Usiwe mmoja wa walevi wa divai, wala walafi wenye kupenda nyama,

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

20 Usiwe mmoja wa walevi wa divai, wala walafi wenye kupenda nyama,

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

20 Usiwe miongoni mwa wanywao mvinyo, au wale walao nyama kwa pupa,

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

20 Usiwe miongoni mwa wanywao mvinyo, au wale walao nyama kwa pupa,

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

20 Usiwe miongoni mwao wanywao mvinyo; Miongoni mwao walao nyama kwa pupa.

Tazama sura Nakili




Methali 23:20
17 Marejeleo ya Msalaba  

Mvinyo hudhihaki, kileo huleta ugomvi; Na akosaye kwa vitu hivyo hana hekima.


Mtu apendaye anasa atakuwa maskini; Apendaye mvinyo na mafuta hatakuwa tajiri.


Tena ujitie kisu kooni, Kama ukiwa mlafi.


Yeye aishikaye sheria ni mwana mwenye hekima; Bali aliye rafiki wa walafi humwaibisha babaye.


na kumbe! Furaha, na kuchekelea, na kuchinja ng'ombe, na kuchinja kondoo, na kula nyama, na kunywa mvinyo; tule, tunywe, kwa maana kesho tutakufa.


Ole wao waamkao asubuhi na mapema, wapate kufuata kileo; wakishinda sana hadi usiku wa manane mpaka mvinyo imewaka kama moto ndani yao!


Ole wao walio hodari kunywa kileo chenye nguvu, na walio hodari wa kuchanganya vileo;


akaanza kuwapiga watumwa wenzake, na kula na kunywa pamoja na walevi;


Na baada ya siku zisizokuwa nyingi, yule mdogo akakusanya vyote, akasafiri kwenda nchi ya mbali; akatapanya mali zake huko kwa maisha ya uasherati.


Akasema, Palikuwa na mtu mmoja, tajiri, aliyevaa nguo za rangi ya zambarau na kitani safi, na kula sikuzote kwa anasa.


Basi, jihadharini, mioyo yenu isije ikalemewa na ulafi, na ulevi, na masumbufu ya maisha haya; siku ile ikawajia ghafla, kama mtego unasavyo;


Kama ilivyohusika na mchana na tuenende kwa adabu; si kwa ulafi na ulevi, si kwa ufisadi na uasherati, si kwa ugomvi na wivu.


Tena msilewe kwa mvinyo, ambamo mna ufisadi; bali mjazwe Roho;


wawaambie wazee wa mji wake, Huyu mwana wetu ni mkaidi, mshupavu, hasikizi sauti yetu; ni mwasherati, tena ni mlevi.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo