Methali 6:12 - Swahili Revised Union Version12 Mtu asiyefaa kitu, mtu wa uovu; Huenda njiani mwenye kinywa cha upotovu. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema12 Mtu mwovu, mtu asiyefaa kitu, huzururazurura akisema maneno mapotovu. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND12 Mtu mwovu, mtu asiyefaa kitu, huzururazurura akisema maneno mapotovu. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza12 Mtu mwovu, mtu asiyefaa kitu, huzururazurura akisema maneno mapotovu. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu12 Mtu mbaya sana na mlaghai, ambaye huzungukazunguka na maneno ya upotovu, Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu12 Mtu mbaya sana na mlaghai, ambaye huzungukazunguka na maneno ya upotovu, Tazama suraBIBLIA KISWAHILI12 Mtu asiyefaa kitu, mtu wa uovu; Huenda njiani mwenye kinywa cha upotovu. Tazama sura |