Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Methali 6:13 - Swahili Revised Union Version

13 Hukonyeza kwa macho, hunena kwa miguu, Huwaashiria watu kwa vidole vyake.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

13 Hukonyeza jicho kuwakosesha wengine, huparuza kwa nyayo, na kuashiria watu kwa vidole.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

13 Hukonyeza jicho kuwakosesha wengine, huparuza kwa nyayo, na kuashiria watu kwa vidole.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

13 Hukonyeza jicho kuwakosesha wengine, huparuza kwa nyayo, na kuashiria watu kwa vidole.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

13 ambaye anakonyeza kwa jicho lake, anayetoa ishara kwa miguu yake na kuashiria kwa vidole vyake,

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

13 ambaye anakonyeza kwa jicho lake, anayetoa ishara kwa miguu yake na kuashiria kwa vidole vyake,

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

13 Hukonyeza kwa macho, hunena kwa miguu, Huwaashiria watu kwa vidole vyake.

Tazama sura Nakili




Methali 6:13
6 Marejeleo ya Msalaba  

Mbona moyo wako unakutaharakisha! Na macho yako, je! Kwa nini yaangae?


Sitaweka mbele ya macho yangu Neno la uovu. Kazi yao waliopotoka naichukia, Haitaambatana nami.


Walio adui zangu bure wasinisimange, Wanaonichukia bila sababu wasining'ong'e.


Akonyezaye kwa jicho huleta masikitiko; Bali mpumbavu mwenye maneno mengi ataanguka.


Hata asiweze kuiona njia sawa ya uzima; Njia zake ni za kutangatanga wala hana habari.


Ndipo utaita, na BWANA ataitika; utalia, naye atasema, Mimi hapa. Kama ukiiondoa nira; isiwepo kati yako, wala kunyosha kidole, wala kunena maovu;


Tufuate:

Matangazo


Matangazo