Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Methali 6:14 - Swahili Revised Union Version

14 Mna upotovu moyoni mwake, hutunga uovu daima, Hupanda mbegu za magomvi.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

14 Akiwa amejaa ulaghai moyoni hutunga maovu, huzusha ugomvi kila mahali.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

14 Akiwa amejaa ulaghai moyoni hutunga maovu, huzusha ugomvi kila mahali.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

14 Akiwa amejaa ulaghai moyoni hutunga maovu, huzusha ugomvi kila mahali.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

14 ambaye hupanga ubaya kwa udanganyifu moyoni mwake: daima huchochea fitina.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

14 ambaye hupanga ubaya kwa udanganyifu moyoni mwake: daima huchochea fitina.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

14 Mna upotovu moyoni mwake, hutunga uovu daima, Hupanda mbegu za magomvi.

Tazama sura Nakili




Methali 6:14
22 Marejeleo ya Msalaba  

Waliowaza mabaya mioyoni mwao, Kila siku huchochea vita.


Wamenoa ndimi zao na kuwa kama za nyoka, Na katika midomo yao mna sumu ya fira.


Huwaza maovu kitandani pake, Hujiweka katika njia mbaya; hauchukii ubaya.


Je! Hawakosi wawazao mabaya? Bali fadhili na kweli zina wao wawazao mema.


Mtu asiyefaa kitu huchimba shimo la madhara; Katika midomo yake mna moto uteketezao.


Mtu mwenye moyo wa ukaidi hatapata mema; Na mwenye ulimi wa upotovu huanguka katika misiba.


Wafurahio kutenda mabaya; Wapendezwao na upotovu wa waovu;


Njia yake aliyelemewa na dhambi imepotoka sana; Bali mtu aliye safi, kazi yake ni sawasawa.


Yeye apandaye uovu atavuna msiba, Na fimbo ya ghadhabu yake itakoma.


Mtu afikiriye kutenda maovu, Watu watamwita mtundu;


Usiwaze mabaya juu ya jirani yako, Ambaye anakaa karibu nawe na kujiona salama.


Maana mtu mjeuri ni chukizo kwa BWANA, Bali siri yake ni pamoja na wanyofu.


Tena vyombo vyake mlaghai ni vibaya; hutunga hila mbaya, ili kuwaangamiza wanyonge kwa maneno ya uongo, mtu mhitaji ajaposema maneno yenye haki.


Bali wabaya wanafanana na bahari iliyochafuka; maana haiwezi kutulia, na maji yake hutoa tope na takataka.


Akaniambia, Mwanadamu, hawa ndio watu wale watungao uovu, na kutoa mashauri mabaya ndani ya mji huu;


Kwa maana wao hupanda upepo, nao watavuna tufani; nafaka haina bua; machipuko yake hayatoi masuke; hata ikiwa yatoa, wageni watayameza.


Ole wao wakusudiao mambo maovu, na kutenda mabaya vitandani mwao! Kunapopambazuka asubuhi huyafanya, sababu wana uwezo mikononi mwao.


Ndugu zangu, nawasihi, waangalieni wale wafanyao fitina na mambo ya kukwaza kinyume cha mafundisho mliyojifunza; mkajiepushe nao.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo