Atendaye mambo kwa mkono mlegevu huwa maskini; Bali mkono wake aliye na bidii hutajirisha.
Methali 20:4 - Swahili Revised Union Version Mtu mvivu hataki kulima wakati wa baridi; Hivyo wakati wa mavuno ataomba, hana kitu. Matoleo zaidiBiblia Habari Njema Mvivu halimi wakati wa kulima; wakati wa mavuno atatafuta asipate chochote. Biblia Habari Njema - BHND Mvivu halimi wakati wa kulima; wakati wa mavuno atatafuta asipate chochote. Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza Mvivu halimi wakati wa kulima; wakati wa mavuno atatafuta asipate chochote. Neno: Bibilia Takatifu Mvivu halimi kwa majira; kwa hiyo wakati wa mavuno hutazama lakini hapati chochote. Neno: Maandiko Matakatifu Mvivu halimi kwa majira; kwa hiyo wakati wa mavuno hutazama lakini hapati chochote. BIBLIA KISWAHILI Mtu mvivu hataki kulima wakati wa baridi; Hivyo wakati wa mavuno ataomba, hana kitu. |
Atendaye mambo kwa mkono mlegevu huwa maskini; Bali mkono wake aliye na bidii hutajirisha.