Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Methali 20:4 - Swahili Revised Union Version

Mtu mvivu hataki kulima wakati wa baridi; Hivyo wakati wa mavuno ataomba, hana kitu.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Mvivu halimi wakati wa kulima; wakati wa mavuno atatafuta asipate chochote.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Mvivu halimi wakati wa kulima; wakati wa mavuno atatafuta asipate chochote.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Mvivu halimi wakati wa kulima; wakati wa mavuno atatafuta asipate chochote.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Mvivu halimi kwa majira; kwa hiyo wakati wa mavuno hutazama lakini hapati chochote.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Mvivu halimi kwa majira; kwa hiyo wakati wa mavuno hutazama lakini hapati chochote.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Mtu mvivu hataki kulima wakati wa baridi; Hivyo wakati wa mavuno ataomba, hana kitu.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Methali 20:4
14 Marejeleo ya Msalaba  

Atendaye mambo kwa mkono mlegevu huwa maskini; Bali mkono wake aliye na bidii hutajirisha.


Nafsi ya mtu mvivu hutamani asipate kitu; Bali nafsi ya mwenye bidii itanenepeshwa.


Uvivu humtia mtu katika usingizi mzito; Na nafsi yake mvivu itaona njaa.


Mtu mvivu hutia mkono wake katika sahani; Wala hataki hata kuupeleka kinywani pake.


Mashauri ya moyoni ni kama kilindi; Lakini mtu mwenye ufahamu atayateka.


Matakwa yake mtu mvivu humwua, Kwa maana mikono yake hukataa kufanya kazi.


Hivyo, umaskini wako huja kama mnyang'anyi, Na uhitaji wako kama mtu mwenye silaha.


Ewe mvivu, mwendee chungu, Zitafakari njia zake ukapate hekima.


Mwenye kuuangalia upepo hatapanda; Naye ayatazamaye mawingu hatavuna.